Leo nimepotea Buguruni mjini "Dalisalama"

Hivi mtu akiwa anaishi kwenye hiyo mitaa uliyopiga picha halafu akiulizwa na watu wa mikoani anakoishi atathubutu kusema anaishi Dar?
Ila ule mtaa wa Mitungi na Colombia Street ilinibidi nipite kikakamavu zaidi, maana hayo majina ya mitaa hiyo yalihatarisha amani ya moyo wangu, nikahisi humu wazee wa "ngada" hawakosekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…