Leo nimeshangaa kujua kuwa mwanzilishi wa Apple ni Mwarabu

Leo nimeshangaa kujua kuwa mwanzilishi wa Apple ni Mwarabu


Dunani huwezi kujua kila kitu, leo nimeshangaa kugundua kwamba mwanzilishi wa Kampuni ya Apple yaani Steve Jobs alikuwa Mwarabu wa Syria na baba yake alikuwa anaitwa Abdul Fattah Jandali ila alilelewa na wazazi ambao sio wake ambaye ni Paul jobs na mkewe.

Ila cha ajabu alikuwa akipenda sana kwenda kula restaurant ya Fattah bila ya kujua ndio biological father wake, hadi anakufa aliweza kuungana na mama yake mzazi na dada yake ila baba yake hakutaka kujishusha aliona akimfuata ataonekana kama kafuata hela.
Shangaa pia kwanba Stev Jobbs alikuwa choko
 
Ikiwa mtu hajui kitu hakuna zuio la kuuliza kwa wanaojua. Muda mwengine mtu unaweza kuonekana punguani kwa kujitia ujuaji kumbe zwazwa!! Eti WASIRIA SIO WAARABU, kwani waarabu ni akina nani ikiwa hata Wasomali ni jamii za kiarabu.
 
Kobazi kweli akili hamna kwahiyo Syria ni waarabu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20241008-090013.png
 
Middle east wasyria ni Moja ya jamii za watu wenye maarifa sana ndio maana hata wakati wa machafuko Kila nchi ikiongozwa na German walikuwa wanawakaribisha
Tanzania ikichafuka tutafika humu humu sioni wa kutupokea
 
Vipi F

Wapumbavu sana
Hivi hata hamjionei huruma , yani steve jobs kuwa muarabu wewe huku unachukia na kufikia hadi kutukana ,kwa chuki hizo si mnajitafutia kufa mapema tu maana kuna vitu huwezi kuvibadilisha hapa duniani utajiumiza bure tu
 
Siria, Lebanon Jordan, Israel sio Waarabu. Hata wanaojiita Wapalestina sio waarabu ndio maana waarabu huwa hawawasaidii.
Lebanon na baadhi ya Syria hawataki kabisa kuitwa Waarab wako kama Wasomali wanavyokataa kuwa ni Waafrica.

Misri nako wale Coptic hawataki kuitwa Waarab na kuna trend Morocco na Algeria wale Berbers hawataki kuitwa waarab wanasema wao ni Berbers.
 
Chanzo ni kwamba Mama yake Jobs aitwaye Bi. Schieble alipewa ujauzito na Mtu aitwaye Jandali, tatizo likaja kwenye dini
 
Back
Top Bottom