- Thread starter
- #41
YesChanzo ni kwamba Mama yake Jobs aitwaye Bi. Schieble alipewa ujauzito na Mtu aitwaye Jandali, tatizo likaja kwenye dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YesChanzo ni kwamba Mama yake Jobs aitwaye Bi. Schieble alipewa ujauzito na Mtu aitwaye Jandali, tatizo likaja kwenye dini
Haya andika kwa Kiswahili sasa nikuelewe!!
sio mpemba tu ata Mzanzibar ukimsema vibaya muarabu urafiki na yeye unaishi hapo hapoWapemba je?? Ukitaka mpemba akupende muite muarabu.
Uarabu ni utamaduni sio race.. Yaan hakuna race inaitwa muarabu kama ilivyo kwa mweusi, mlatino, Asian au Black..mfano watu wa Morocco, Algeria wana asili au muonekano sawa na watu wa Hispania, Ureno na nchi nyingine kadhaa lakini tendency yao ya kufuata mila na tamaduni za kiarabu ndio maana wanaitwa warabu hii yote ilitokana na utawala wa kiarabu (Caliph) kutawala maeneo hayo na Uhispania, lakini Wahispania wao baadae waliukataa utamaduni wa kiarabu na wakavunja misikiti na kutokomeza kabisa uarabuWengi wenu hamjui waarabu ni watu gani. Mtu akiwa muislamu tu mbamuita Mwarabu. Wasiria sio waarabu. Waarabu ni Saudi Arabia UAE na Qatar. Misri, Moroko, Libya, Algeria nk bi mchanganyiko wa Mwarabu na Mwafrika.