Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Syria,lebanon sio waarabu ni watu gani?Siria, Lebanon Jordan, Israel sio Waarabu. Hata wanaojiita Wapalestina sio waarabu ndio maana waarabu huwa hawawasaidii.
Ukiwa na akili za kuchangamkia fursa kila nchi itakuwa ni nzuri kwako.America ni nzuri sana kwa kila jamii
Hawajawahi kuwa waarabuNa ww tuambie ni tangu lini wasiliya wakawa sio waarabu.
Tupe ushahidi wa nasaba unao onesha wao kutokuwa waarabu acha kijitungia vitu kutoka kichwani mwako.Hawajawahi kuwa waarabu
Kwani Uarabu ni nini ni RACE au rangi ya NGOZISiria, Lebanon Jordan, Israel sio Waarabu. Hata wanaojiita Wapalestina sio waarabu ndio maana waarabu huwa hawawasaidii.
Wa Syria sio waarabu aisee ndio maana nakuambia akili huna 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawajawahi kuwa waarabu
Shangaa pia kwanba Stev Jobbs alikuwa choko
Dunani huwezi kujua kila kitu, leo nimeshangaa kugundua kwamba mwanzilishi wa Kampuni ya Apple yaani Steve Jobs alikuwa Mwarabu wa Syria na baba yake alikuwa anaitwa Abdul Fattah Jandali ila alilelewa na wazazi ambao sio wake ambaye ni Paul jobs na mkewe.
Ila cha ajabu alikuwa akipenda sana kwenda kula restaurant ya Fattah bila ya kujua ndio biological father wake, hadi anakufa aliweza kuungana na mama yake mzazi na dada yake ila baba yake hakutaka kujishusha aliona akimfuata ataonekana kama kafuata hela.
Hahahaha na ndo mana alama ya kampuni yake ni TUNDA la mti wa kati lililomegwaShangaa pia kwanba Stev Jobbs alikuwa choko
Kobazi kweli akili hamna kwahiyo Syria ni waarabu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wala usihangaike naye huyo hana anachojua ndio kaja mjini juzi bado hajatoa tongo tongo
Hivi hata hamjionei huruma , yani steve jobs kuwa muarabu wewe huku unachukia na kufikia hadi kutukana ,kwa chuki hizo si mnajitafutia kufa mapema tu maana kuna vitu huwezi kuvibadilisha hapa duniani utajiumiza bure tuVipi F
Wapumbavu sana
Lebanon na baadhi ya Syria hawataki kabisa kuitwa Waarab wako kama Wasomali wanavyokataa kuwa ni Waafrica.Siria, Lebanon Jordan, Israel sio Waarabu. Hata wanaojiita Wapalestina sio waarabu ndio maana waarabu huwa hawawasaidii.
Duh!!Tupe ushahidi wa nasaba unao onesha wao kutokuwa waarabu acha kijitungia vitu kutoka kichwani mwako.