Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Heri Wana Jukwaa na Hongera Kwa majukumu ya leo. Nilipata nafasi kuungana na watanzania na wafiwa katika kumuaga Mhe. Mafuru (Late).
Baada ya jambo Hilo kwisha na viongoz wakuu kuondoka nani nikajitokea mdogo mdogo nikawa nawaaga wajasiria Mali waliokuwa wakiuza leso na maji pale getini karimjee. (Maana tulikaa kitambo kabla Mhe. Rais kufika) Wakati na waaga akatoka Dkt. Doroth Gwajima akitembea ingawa viongoz wengi nimewaona wakitoka wanatembea mdogo mdogo nikadhani magari yako Mbali.
So after Mhe. Doroth kupita mie nikaongoza Barabara kile juu. Kama naenda ocean road Ile nakatiza kama naenda IFM namkutana keshazunguka Ile National Museum yote amekuja Tena kama anaelekea ocean road.
Nikamsalimu akajibu as mama wa huku kwetu uswahilini. Nilibaki najiuliza Huyu alizaliwa akiwa anajua social interaction au amezaliwa akiwa waziri.
Nilijiapiza lazma nimpe haya maua. Hakika bila Tashwishwi Wala Huba Mhe. Rais amejua kuupatia kucha stahiki huu upele wa Ujamii. Mungu akubariki.
Baada ya jambo Hilo kwisha na viongoz wakuu kuondoka nani nikajitokea mdogo mdogo nikawa nawaaga wajasiria Mali waliokuwa wakiuza leso na maji pale getini karimjee. (Maana tulikaa kitambo kabla Mhe. Rais kufika) Wakati na waaga akatoka Dkt. Doroth Gwajima akitembea ingawa viongoz wengi nimewaona wakitoka wanatembea mdogo mdogo nikadhani magari yako Mbali.
So after Mhe. Doroth kupita mie nikaongoza Barabara kile juu. Kama naenda ocean road Ile nakatiza kama naenda IFM namkutana keshazunguka Ile National Museum yote amekuja Tena kama anaelekea ocean road.
Nikamsalimu akajibu as mama wa huku kwetu uswahilini. Nilibaki najiuliza Huyu alizaliwa akiwa anajua social interaction au amezaliwa akiwa waziri.
Nilijiapiza lazma nimpe haya maua. Hakika bila Tashwishwi Wala Huba Mhe. Rais amejua kuupatia kucha stahiki huu upele wa Ujamii. Mungu akubariki.