Leo nimetafakari sana kifo cha Rais Benjamin Mkapa

Status
Not open for further replies.
Hiyo inaitwa safisha njia ili tuwahi kwa ndugu na marafiki zetu wa Rwanda na Kampala
 
Mkuu ishu sio checks and balance au kujazana kwa CCM Bungeni. Ishu ni hao wa kufanya hiyo checks and balance wanastahili au unataka iwe atavistic tu?
 
Jingine, eti watu wanampongeza Mkapa kwa kutaka tume huru!

Kutaka tume huru baada ya yeye kustaafu.

Seriously?

Was this like a biblical revelation of his twilight years??????
Nimekisoma kitabu cha Mkapa, aliyoandika ni mambo ya aibu, mambo serious yeye anaya treat very lightly, kama Watanzania ni watoto vile.
 
Kuna kubadilika mawazo, halafu kuna unafiki wa kutaka kujisafisha historia yako ukishajiona unakaribia kufariki.

Mkapa alikuwa anajisafisha jina lake kinafiki alipojiona anakaribia kufariki.
 

ilikuwa logic simple tu,kwamba hatakataa tena.
 
Mimi sina tabia ya kusifusifu hawa ma CCM. Jamaa nae alitutesa sana
 
Jingine, eti watu wanampongeza Mkapa kwa kutaka tume huru!

Kutaka tume huru baada ya yeye kustaafu.

Seriously?

Was this like a biblical revelation of his twilight years??????
Hata siku moja haitakuwa kuchelewa kutaka tume huru. Urais kwa muujibu wa katiba ni miaka 10 unaondoka, Tume huru ikipatikana itabaki hata kwa vijukuu na vitukuu.

Tafadhali fikiria juu ya Tanzania kwanza na si maslahi binafsi. Angeahidi kuleta tume huru na akaomba ridhaa kwa tiketi ya CCM kwa mara yapili, licha ya kuwa na miaka 80 ningemchagua kuwa tena rais wa Tanzania.

Ndugu zanguni KATIBA MPYA na TUME HURU ndio inayotutafuna na itaendelea kututafuna mpaka tuvurugane watanzania kwa watanzania. Lioneni hilo jamaniiiiiii.

Hata Jakaya Kikwete akisema atagombea mwaka 2025, kwa nia ya kuja kumalizia mchakato wa KATIBA MPYA aliouacha, na kuleta TUME HURU bila kupepesa macho nakuhakikishia atachaguliwa tena. Nami kura yangu nitampa na wapinzani wote watampa.
 
Nyerere aliweka msingi mbovu sana wa chama kuwa ndio dola na ndicho kinachotusumbua hadi leo.
Watanzania wengi wakilijua hilo na kulisahihisha, kweli Tanzania tutatoboa.

Lakini kwa bahati mbaya, tupo kwenye kiza kikubwa sana tukiendelea kuyasifu maovu aliyoyahalalisha na tukiendelea kusema; eti kiongozi huyu ni safi kwa sababu anafuata njia ile ile aliyopita Nerere;. Huwa nasema tu Sheeeeeeeeeeet! Tuna safari ndeeefuuuu!
 
Tangulia Ben, Kifo chako kinaniachia maswali mengi kuliko majibu!!!
Tunaambiwa "cardiac Arrest" iliyotokana na malaria.
Chukua tahadhari sana na malaria ya siku hizi.

Haikusemwa 'COVID-19', kwa sababu tulishaishinda hapa kwetu kwa maombi maalum, hii ingetiondolea sifa nyingi tulizojizolea kwa juhudi za kiongozi wetu huyu anayejipambanua kuwa mcha 'mungu' zaidi ya viongozi wengine wowote hapa duniani.

Nilitaka kulipuuza na kutolisoma andiko lako hili refu, lakini baada ya kulisoma inaniwia vigumu kulipuuza moja kwa moja, kwa maana zama tulizonazo sasa hivi, lolote linawezekana chini ya mtawala.
 
Some mystery surrounding his demise. RIP Ben.
 
Mr Blind eye. No vote was counted. It was pure looting and vandalism. Continue teasing yourself.
 
hata kama asingeondolewa alikuwa amebakiza muda mchache sana kwa mwili ule
Mmmm, hata siku mbili au wiki ni muhimu sana katika maisha. Hujafika huko na nafikiri hata haupo katika fani ya Afya vinginevyo ungejua umuhimu wa muda na kifo.

Ushauri: Waafrika tuthamini uhai wa binaadam ambao uko relative na muda. Hakika nakuambia ukimkuta mzee wa miaka 90 anatamani afikie 91 hata 100.
 

Kwenye hesabu nadhani mambo ya logic, kuna kitu kinaitwa implication na double implication, inahitaji falsafa kwa kiasi fulani
 
HUYU ALIWAKERA WAKUBWA KWA KUANZA KUONGELEA

KATIBA MPYA
SERIKALI SIO YA MTU
TUME HURU YA UCHAGUZI
NA KUTOONGEZA TERM LIMITS

WAKAONA ANAENDA KUWAWEKEA USIKU MBELE YA SAFARI
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…