Leo nimetaka kumtandika Dada yangu vibao mbele ya mume wake. Wanawake wa siku hizi sijui wakoje!


Yaani wewe ni ngekewa hasa!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapo kwenye remote, daah
 
Unaleta ubabe kwene nyumba za watu na hata huoni aibu, tafuta kwako.
 
Hahahaaaaaa kwahiyo wewe kwa dada yako kazi yako nikuckiliza wanayofanya chumbani na mumewe ndicho kimekupeleka huko [emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] duuuu[emoji1787]
 
Ka
Umemtendea haki Dada yako kunusuru ndoa yake.

Hao wapuuzi wanaojifanya wanakucheka wapotezee maana maisha yetu ya Africa hujulikana jinsi tunavyotegemeana hasa kiutamaduni tokana na extended families.
Kabisa Jo.... Ana leta mambo ya kwenye sinema huku Afrika
 
Nahisi huyu mwamba siku mkimuona live hamtaamini!
Yawezekana hafanani kabisa na hizi mada zake na unaweza kuta ni mtu independent na successful sema kwenye muda wa kupumzika ndiyo huwa anaandika upuuzi achangamshe genge [emoji1][emoji1][emoji1]
Hamna kitu jamaaa yangu. Sema nyie wengine ndo mpo vizuri humu JF. Sisi wengine tunaishi na dada zetu kwa shemeji zetu. Tunavumilia mengi.
 
Ila wewe bwege mwanzo mwisho, yaani unasikiliza hadi hayo,

Mkikua mkapange
 
Daaah! nimecheka sanaa. Sister akifukuzwa huna pakwenda, yaani wote mmeolewa[emoji1787]
Hata me najiuliza nakushangaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mungu nisamee
 
Yaani mwanaume kabisa rijali unawezaje kuandika kitu Kama hiki?hata Kama Ni utani au umeamua kufurahisha kijiwe this is big No, wewe unaweza mlala dada yako haki Tena!huna maadili kabisa
 
Yaani mwanaume kabisa rijali unawezaje kuandika kitu Kama hiki?hata Kama Ni utani au umeamua kufurahisha kijiwe this is big No, wewe unaweza mlala dada yako haki Tena!huna maadili kabisa
Wewe umewahi lalwa na kaka yako? Huo ni uzoefu wako si lazima kila mwanamke apitie.
 
Kumbe ulikuwa unataka sister apigwe fimbo ili shemeji asahau kuondoka na remote.
 
Hama hapo
 
Siku nyingine akizingua wewe kamshikie miguu kabisa shemeji yako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…