Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
AmenWelldone mkuu kwa kutimiza miaka hiyo ndani ya JF, endelea kuelimika mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenWelldone mkuu kwa kutimiza miaka hiyo ndani ya JF, endelea kuelimika mkuu
Anasema bado anadaiKokoo wa Jukwaa 😂🏃♂️
Hongera sana Muhenga, Idumu JFNamshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF
Moderator hivi mna utaratibu wa kuhesabu idadi ya ban mtu alizopigwa? Mtu kama mleta mada unaweza kuta hajawahi pigwa ban katika miaka 15. Kunaweza kuwa na utaratibu wa kuwatambua member wenye nidhamu.Tueleze umekula ban mara ngapi-
Amen Amen MpwaHongera sana Muhenga, Idumu JF
Hahahaha Mpwa niliwahi kula Ban kadhaa ila chache sana, huenda Nina nidhamu hahahaahModerator hivi mna utaratibu wa kuhesabu idadi ya ban mtu alizopigwa? Mtu kama mleta mada unaweza kuta hajawahi pigwa ban katika miaka 15. Kunaweza kuwa na utaratibu wa kuwatambua member wenye nidhamu.
Hakika. Kumi si habaNazeeka sasa na Mimi Nina timiza miaka 10 JF loh
Umekula chumvi mkuu...hongeraNamshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Hahahaha anataka kunizeesha!Anasema bado anadai
Amen Amen Mpwa. BarikiwaUmekula chumvi mkuu...hongera
No mkuu usiogope comments za dot.com kuhusu umri, kuwa na good innings lazima uwe proud na mshukuru Mwenyezi Mungu, wengi dot. Com hawafiki 30yrs to 45 yes kisa ni bad life style, na uzuzu wa kutake risks za kimaisha, ishi na relax mkuu wangu na endelea kupambanaSio kiivyo, bado nadai!
Asante RafikiHongera sana
Amen, Asante kwa maneno mazito! ShukraniNo mkuu usiogope comments za dot.com kuhusu umri, kuwa na good innings lazima uwe proud na mshukuru Mwenyezi Mungu, wengi dot. Com hawafiki 30yrs to 45 yes kisa ni bad life style, na uzuzu wa kutake risks za kimaisha, ishi na relax mkuu wangu na endelea kupambana
Asante sanaHongera mwaya