Leo nimetimiza miaka 30, sijawahi miliki hata Godoro

Leo nimetimiza miaka 30, sijawahi miliki hata Godoro

Bado una nafasi ya kupambana na kufanikisha baadhi ya malengo...Kwenye maisha kuna wakati unaweza usione mbele yako itakuaje hata kama utatumia microscope kutazama

Nyakati kama hizo zisizime ndoto zako bali ziwe za kukujenga na kukupa darasa jinsi gani maisha yalivyo...itakusaidia kama funzo huko mbeleni ..kuna wengine tuna vitanda pamoja na familia lakini hatuna uwezo wa kusurvive kila siku ila kwa sababu maisha hayana fomula tunakaza kimtindo maisha yanaendelea

Bado una nafasi kijana pambana mpaka Point ya mwisho
 
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
so nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Pole sana..
 
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
so nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mkuu bado una nafasi usivunjike moyo
 
Back
Top Bottom