Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
so nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Miaka 30 ni umri mdogo sana wala hutakiwi kuteseka kwa mawazo kisa godoro tu sijui na kitanda.Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
so nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Mkuu pole sana najua situation unayopitia ni ngumu sana, maisha sio straight way, kuna waliofanikiwa na miaka 20, 25, etc hadi miaka 50.......kikubwa usikate tamaa, elimu bado ni muhimu mno, muombe Mungu akufungulie ridhiki zaidiBaada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
so nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Halafu akitaka kuwasiliana anaongea kupitia godoroUza simu kanunue godoro
Hahaaaaaa na kweli asee.Mleta mada kila mtu anakupa comment ya kukupa faraja na kukutia moyo ila kama ungeleta thd kua maisha umeyapatia na unamiliki magari ya kifahari na maisha ni mazuri basi wangekuponda na kukuona wewe ni muongo umepigika tu,
Hii ndio JF.
[emoji3][emoji3]
Mkuu,unajua mtu aliyefeli/ambaye hawezi kufanya jambo fulani basi huamini kabisa kua na wengine hawawezi kama yeye alivyoshindwa,au hata anaweza kusema ni uongo ili japo ajifariji tu.Hahaaaaaa na kweli asee.
Nakumbuka jamaa aliyeeleza alivyojenga nyumba kwa miaka 5 (Ni mingi) na bado akaonekana mwongo!!!.
Daaah!Mkuu,unajua mtu aliyefeli/ambaye hawezi kufanya jambo fulani basi huamini kabisa kua na wengine hawawezi kama yeye alivyoshindwa,au hata anaweza kusema ni uongo ili japo ajifariji tu.
Ni tatizo ila bado hujachelewa bado muda upo wa kutoshaBaada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.