Professor of jungle
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 422
- 802
- Thread starter
- #61
mkeka umenistiri sana, miaka kadhaa nyuma sikuwah hisi mpaka mda huu nitakuwa nahustle thouhg maisha bao yanaendelea.Sasa unalala chini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkeka umenistiri sana, miaka kadhaa nyuma sikuwah hisi mpaka mda huu nitakuwa nahustle thouhg maisha bao yanaendelea.Sasa unalala chini?
nipe ramani kiongozi,mjini nimeshindwa ona fursa.njoo hapa bariadi kuna mgodi unaitwa dutwa hutakosa cha kufanya
hujanisoma mkuu,wana wananiungia hizo ten sio nahonga.Kwanini usijibane hizo hela unazowapa hao wana mizinga ili ununue hilo Godoro,na vitu vingine?kaa ukijua kuwa maisha hayajawahi kuwa rahisi hivyo unavyowazia,hizo ten unazohonga ni hela ungeweza kufanyia mambo mengine ya maana na ukafanikiwa...,...
komaa ukiona chungu imezidi utamu uko karibu usikate tamaaBaada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Inshort ulikuwa unamiliki group la WhatsApp tuBaada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
ngoja niishi nayo hii mkuu,kuna nyakati maisha yanakuwa na ukatili fulani ngoja nijifunze.Bado una nafasi ya kupambana na kufanikisha baadhi ya malengo...Kwenye maisha kuna wakati unaweza usione mbele yako itakuaje hata kama utatumia microscope kutazama
Nyakati kama hizo zisizime ndoto zako bali ziwe za kukujenga na kukupa darasa jinsi gani maisha yalivyo...itakusaidia kama funzo huko mbeleni ..kuna wengine tuna vitanda pamoja na familia lakini hatuna uwezo wa kusurvive kila siku ila kwa sababu maisha hayana fomula tunakaza kimtindo maisha yanaendelea
Bado una nafasi kijana pambana mpaka Point ya mwisho
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
nipo dar mkuu,game inakuwa ngumu nawish sometimes mpira urudi kwa kipa.Ungesema mahali unaishi watu wajue wanakusaidia vipi.
Ila kazi za mtaani unatakiwa usahau kidogo kuhusu makaratasi waliyokupa ulipomaliza skuli
Kazana mkuu nunua godoro uoemkeka umenistiri sana, miaka kadhaa nyuma sikuwah hisi mpaka mda huu nitakuwa nahustle thouhg maisha bao yanaendelea.
vip ulikuwa kwenye kundi la mitano tena au mitano kwanzaBaada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
duh huo umri nilikuwa shule ila baada ya shule nothing works.Yesu wangu mm hizo asset nimeanza kumiliki toka nikiwa na miaka 19
Sahivi nina miaka 22 ila nina kila kitu...
duh kuoa tena,tumbo langu lenyewe changamoto.Kazana mkuu nunua godoro uoe
kikombe kigumu sana hiki ila hakuna namna tuishi nacho.Pole mkuu. hatutofautiana sana. Tuko pamoja hauko peke yako.
hii misemo sometimes ni faraja tu.komaa ukiona chungu imezidi utamu uko karibu usikate tamaa
Akili ichangamkee zaidiiduh kuoa tena,tumbo langu lenyewe changamoto.
akili ichangamke au iungue zaidi. changamoto ya kuoa hapana nisije leta maseke kwenye hio ndoa. naweza kuwa tatizo kwa huyo mke.Akili ichangamkee zaidii
nitajaribu hii risk, may be italipa.Wala haujachelewa. Kinachoogopesha wengi ni uwoga wa maisha.
Mimi baada ya kumaliza elimu yangu, sina kazi, nashinda nalala tu nyumbani.
Nilipata mpaka msongo wa mawazo. Nilichoamua, nilitoka nikaenda mkoa wa mbali na nyumbani. Na lengo langu lilikuwa ni kuishi kwenye mkoa ambao sina ndugu wala rafiki ili nisipate msaada wowote ili nipambane zaidi kutafuta pesa.
Mwanzo huwa ni mgumu, utalala njaa, utadharaulika hata mate utatemewa ila ndiyo mwanzo wa kutoboa. Baada ya kulipa nauli 20,000. Nikalala guest ya 5,000, nikalipa chumba miezi 3 (45,000). Nikabakiwa na 2, 000 (elfu mbili). Imenijenga sana kutafuta pesa. Toka hapo ulipo, nenda mkoa mbali na kwenu, hakika kichwa chako kitakuwa chepesi kutafuta pesa.