herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
Bei ya simu yako nahisi unanunua kitanda cha 6-5 na na godoro, na pesa unayoitumia kunywea pombe ukiilimbikiza ndan ya wiki unalipa kodi miez mi3 ya kwanza maisha yanaendelea🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah, Mwamba made a life a quite lethalMaisha yapo hivo jipe matumaini ya ushind japo miaka sita iliyopita ilibadilisha taswira ya vijana siitaji hata kusikia jina la huyo mtu.[emoji23]
Unaweza oa ndio ukafanikiwaakili ichangamke au iungue zaidi. changamoto ya kuoa hapana nisije leta maseke kwenye hio ndoa. naweza kuwa tatizo kwa huyo mke.
mimi sio mnyonge chief, wanyonge wapo. mda umegoma kunibariki.Muda bado mnyonge, we pambana tu mnunue ndege ila hali unalala sakafuni
kwa mda huu hicho kikombe kiniepuke, hata nikisema naoa namuoa nani.Unaweza oa ndio ukafanikiwa
🙏🙏Miaka 30 ni umri mdogo sana wala hutakiwi kuteseka kwa mawazo kisa godoro tu sijui na kitanda.
Kuwa na elimu tu uliyonayo ni achievement tosha kabisa to brag about.
Cha kukusaidia tu kwa sasa hutakiwi kuwaza kwa nini huna hata godoro tu, kwanza godoro la nini wakati hata hela ya kumiliki huna, Utaliweka chini ya mti ?
Sasa hivi tumia muda mwingi namna gani utazalisha pesa au utapata chanzo cha mapato, kuwa na godoro sijui piki au whatever ni jambo la dakika tu ukiwa na pesa.
Usitafute godoro tafuta hela kwanza
Atakaekupenda kwenye shida ndio wako mkuukwa mda huu hicho kikombe kiniepuke, hata nikisema naoa namuoa nani.
mfukoni i'"m a loser ila akili yangu is looking for victory at any cost.
nafsi ya mwanadamu huwa inataka faraja hata ukipata pesahii misemo sometimes ni faraja tu.
may be mkuu, nishawahi fuga kuku kwakipindi fulani ila sijajua kwanini niliquit hiyo game.Mifugo naona Kama itakutoa kimaisha anza kufanya kazi ufugaji huko ndiko ulikoitiwa hivyo vingine vinakupotezea muda.
inatokea kupendwa kwenye shida ila ni kama zari la metali.Atakaekupenda kwenye shida ndio wako mkuu
Kwani huo u-poropesa wako ni wa Jalalani?Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
nipo dar mkuu, kazi ngumu show show nakimbiza. maisha yamesimama option ni kukimbiza chochote.Mkuu uko Mkoa gani.. na kazi za nguvu unaweza Kufanya?
mwamba haeewi simu ni bora kuliko godoro ila lengo ni kushangaa umewekeza shule na umri umeenda na bado maisha yanagoma kufungua njia.Halafu akitaka kuwasiliana anaongea kupitia godoro
Iga ufe!Daaah!
Hii mentality Ni ya kijinga mno.
Kuna vijana chini ya miaka 30 tayari wanamiliki biashara za million 200.
🙏 🙏 babu hakuwa nachakupoteeza,naanza kuogopa isije depression ikanila mdogo mdogo.Usikate tamaa,mbona Babu wa Loliondo alitoboa uzeeni?
Just be happy and enjoy ur life no matter what,
life is too short.