Leo nimetimiza miaka 30, sijawahi miliki hata Godoro

Leo nimetimiza miaka 30, sijawahi miliki hata Godoro

Bei ya simu yako nahisi unanunua kitanda cha 6-5 na na godoro, na pesa unayoitumia kunywea pombe ukiilimbikiza ndan ya wiki unalipa kodi miez mi3 ya kwanza maisha yanaendelea🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Miaka 30 ni umri mdogo sana wala hutakiwi kuteseka kwa mawazo kisa godoro tu sijui na kitanda.

Kuwa na elimu tu uliyonayo ni achievement tosha kabisa to brag about.

Cha kukusaidia tu kwa sasa hutakiwi kuwaza kwa nini huna hata godoro tu, kwanza godoro la nini wakati hata hela ya kumiliki huna, Utaliweka chini ya mti ?

Sasa hivi tumia muda mwingi namna gani utazalisha pesa au utapata chanzo cha mapato, kuwa na godoro sijui piki au whatever ni jambo la dakika tu ukiwa na pesa.

Usitafute godoro tafuta hela kwanza
🙏🙏
 
Mifugo naona Kama itakutoa kimaisha anza kufanya kazi ufugaji huko ndiko ulikoitiwa hivyo vingine vinakupotezea muda.
may be mkuu, nishawahi fuga kuku kwakipindi fulani ila sijajua kwanini niliquit hiyo game.
 
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.

Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.

So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Kwani huo u-poropesa wako ni wa Jalalani?
 
Kama umeweza andika humu hicho tu ulichotumia ni tayari wewe ni mmiliki.
 
Ndugu yangu mleta mada Wala usijione wa ajabu sana haya ndio maisha wanayo pitia vijana wengi sema hawana Platform la kujielezea.

Muhimu nikusonga mbele kuweka Nia na juhudi kwa chochote kinachokujia kufanya.

Wakati mmoja utazungumza kwa namna nyingine.
 
Back
Top Bottom