Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Nimekumic upo best. Pole na msiba wa shujaa wa Afrika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumic upo best. Pole na msiba wa shujaa wa Afrika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jaribu kupitia tena thread ya jamaa uje utoe ushauri tenaKwanini usijibane hizo hela unazowapa hao wana mizinga ili ununue hilo Godoro,na vitu vingine?kaa ukijua kuwa maisha hayajawahi kuwa rahisi hivyo unavyowazia,hizo ten unazohonga ni hela ungeweza kufanyia mambo mengine ya maana na ukafanikiwa...,...
Fanya mpango wa kumtafuta LwandaMagere atakupa ramani ya kufika hukonashawishika niende kwa waganga,hii hali sio kabisa.
Duuh jiwe limesagika asee...Mungu noma[emoji91][emoji91]Nimekumic upo best. Pole na msiba wa shujaa wa Afrika
nitajaribu hii risk, may be italipa.
Ukweli lzm usemwe ******** ameharibu hii nchi vibaya sana,kama hupendi chomoaNimeangalia uzi zako nyingi wewe ni baadh ya wale watu wanao Sema magufuli kakufanya ue Maskin ivyo usijal mzee kafa Anza kujifundisha gar kabisa mana hela zitakua nyingi mtaan
Kheri na Baraka kwa siku ya kuzaliwa kwako! Hongera kwa kutimiza miaka 30!Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Usikate tamaa ndugu yangu.Omba,Mungu.Na endelea kubadili mbinu ,utafanikiwa tu.Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Na dushe lenyewe nimeona Karma akiliongelea mahali kuwa liko dhoofu ilhal..kidding.Mimi nina 55, vitu pekee ninavyomiliki ni ndevu pamoja na dushe.
🤣🤣🤣Na dushe lenyewe nimeona Karma akiliongelea mahali kuwa liko dhoofu ilhal..kidding.
Nipo Dar apa kiongozi naweza kazi, hali ni ngumuMkuu uko Mkoa gani.. na kazi za nguvu unaweza Kufanya?
👊👊Jipe moyo
accounting
chief boti moja sio,waya mkali sio kitoto.
brother nikiri mbele yako sikuwah kumuelewa wala kumkubali marehemu.Nimeangalia uzi zako nyingi wewe ni baadh ya wale watu wanao Sema magufuli kakufanya ue Maskin ivyo usijal mzee kafa Anza kujifundisha gar kabisa mana hela zitakua nyingi mtaan
mkuu home nilishasepa kitambo sana.Siyo italipa. Ndiyo mwanzo wa kutoboa kwasababu ukiamka asubuhi unataka ule, unataka kuvaa, kodi inatakiwa ulipe, umeme na maji. Hakika huwezi kukaa kizembe na lazima akili iwe nyepesi.
Unamka asubuhi upo nyumbani, unakula ugali wa mama, unalala bure, haudaiwi kodi wala maji. Usipoangalia utajikuta umezeekea nyumbani halafu mnaanza kugombania mali za urithi.
Wazazi wetu walikuwa wakiona uchumi hauendi vizuri, wanahama wanaenda mkoa mwingine.
Toka hapo home, waombe hata wazazi wawe wanakulipia kodi tu.
Maisha ni kama kioo, ukiyachekea nayo yanakuchekea
kazi ni kazi mkuu, maisha yamenifundisha sometimes you have to eat humble pie hata kama una Phd.Njoo unisadie kulisha nguruwe mdogo wangu