Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima kutakuwa na makosa somewhere. Mfano, kuchagua sana kazi au kutoku-apply kazi zinasomeka nje ya fani yako (position) lakini zinazohitaji elimu yako.Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Everything in order, Everything is connected. Mafanikio ni process whether you like it or not. So try at your best and God will do the rest.Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Mleta mada kila mtu anakupa comment ya kukupa faraja na kukutia moyo ila kama ungeleta thd kua maisha umeyapatia na unamiliki magari ya kifahari na maisha ni mazuri basi wangekuponda na kukuona wewe ni muongo umepigika tu,
Hii ndio JF.
[emoji3][emoji3]
Kweli hali nyingine mpaka uipitie ndio utaelewa ni nini hasa huwatokea watu wengine. ila ukipitia hapo mahali utaelewa kipi ni kipi.Pole mkuu, unayopitia ni magumu mno. Kama mtu hajapitia hali hio ataona ni Kama hadithi tu...!!!Mungu akuvushe salama
Kwanini usijibane hizo hela unazowapa hao wana mizinga ili ununue hilo Godoro,na vitu vingine?kaa ukijua kuwa maisha hayajawahi kuwa rahisi hivyo unavyowazia,hizo ten unazohonga ni hela ungeweza kufanyia mambo mengine ya maana na ukafanikiwa...,...Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
njoo hapa bariadi kuna mgodi unaitwa dutwa hutakosa cha kufanyaBaada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
nashawishika niende kwa waganga,hii hali sio kabisa.Pole mkuu, unayopitia ni magumu mno. Kama mtu hajapitia hali hio ataona ni Kama hadithi tu...!!!Mungu akuvushe salama