Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma content nilipofika chini ikabidi nirudi juu kuangalia ni nani mwandishi wa story,nimejikuta najifyonza kwa sauti kwani ningeona jina la mleta uzi kabla nisingepoteza muda kusoma content ya uzi!
Haha Ishi vizuri na mlinzi wako mkuu, hata update zanje hakupi!
Chitchat kumbe ni ya vilaza??
Sisi tusiokuwa na fweza hatukumbukwi kabisa..tabu kwelikweliKiduku Lilo mutu mwenye pesa zake kiukweli mimi kama shabiki wako mkuu nilikumiss sana nimefurahi kuona uko mzima
Ukiona topiki yako imepelekwa huko ujue ni kitu kisicho na maana, yaani ni upuuzi upuuzi tu wa kupotezea mudaChitchat kumbe ni ya vilaza??
Hahhahah huwa namiss vituko vyake tu DarmianSisi tusiokuwa na fweza hatukumbukwi kabisa..tabu kwelikweli
Goodmorning
Mkuu sina tatizo na hawa walinzi.of course ni wa kampuni kubwa ya ulinzi nchini TZ hulinda nyumba za kibalozi. Huwa sina tatizo nao maana hata mchana jua likiwa kali huja kukaa kibarazani kwangu wapoze miili yao kwenye AC ambayo nmeweka kibarazani.
Ac kibarazani !!!! umetisha!!Mkuu sina tatizo na hawa walinzi.of course ni wa kampuni kubwa ya ulinzi nchini TZ hulinda nyumba za kibalozi. Huwa sina tatizo nao maana hata mchana jua likiwa kali huja kukaa kibarazani kwangu wapoze miili yao kwenye AC ambayo nmeweka kibarazani.