Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bwana rugaimukamu kutoka nyaishozi [emoji1787]Rugabaramu from Katoke Bukoba
Same to me. Nimejikuta nimekasirika sana.Nimesoma content nilipofika chini ikabidi nirudi juu kuangalia ni nani mwandishi wa story,nimejikuta najifyonza kwa sauti kwani ningeona jina la mleta uzi kabla nisingepoteza muda kusoma content ya uzi!
Ulipotelea wap jamani? Nikahisi au umeenda Sweden kumbe ulijikarantine? Karibu tena tumekumiss bana😂Mkuu sina tatizo na hawa walinzi.of course ni wa kampuni kubwa ya ulinzi nchini TZ hulinda nyumba za kibalozi. Huwa sina tatizo nao maana hata mchana jua likiwa kali huja kukaa kibarazani kwangu wapoze miili yao kwenye AC ambayo nmeweka kibarazani.
Kwa mwezi huwa unatumia unit ngapi?
Mkuu hata picha ya hizo remote zikiwa juu ya gazeti lolote la tz au maji ya tz hamna.
Make nahofia utazi-google.
Sijasema usome, nacho taka ni nunua gazeti ni sh 500 tu, afu fanya kama nilivyokueleza, kwani sh 500 kwako ni kitu gani?!Au haina quality pia?Hapana mkuu...magazeti ya TZ huwa hata naposoma napata shida sana maana wanatumia technolojia ya zamani sana ku print macho yangu yanapata shida kusoma maandishi yake.kutokana pia na material ya karatasi wanazotumia. Pia waandishi wengi wa TZ hawana shule. Hivyo hawawezi andika kitu cha maana.
Ajipige kifuani kwa mkono Mara tatu na kusema Mimi ni mjinga sana kutwa Mara tatu kwa siku sabaJipige kabisa maana pamoja na kujua who's a storyteller bado ukapoteza muda kucomment.