Leo nimetongozwa na binti mdogo tu, imenikumbusha sana ujana wangu

Leo nimetongozwa na binti mdogo tu, imenikumbusha sana ujana wangu

Brother zamani yako ndo sasa yangu,
Ubaya wanawake wanapagawika sana na sura,anyway nijiepushe kuambiwa chai shortly nimeruka viunzi vingi, ubaya ni kwamba yule nimpendaye hanielew kwanza muonekano wangu, afu anahisi sijatulia kwasababu ya muonekano,
Sasa hawa wengine watoto ,wamama wadada ,dah namshukuru Mungu sipend sana chini napenda KWA kiasi
Hahaha
 
Habari yako dear, Tafadhali naomba utupigie kura ili tuweze kushinda Tuzo za Tanzania Film Festival Awards.
Jinsi ya kupiga kura unabonyeza link TAFFA2023 kisha unachagua kipengele au categories ya Best actress - chagua CHRISTINA MRONI kisha bonyeza vote utakuwa umepiga kura.

Ingia tena kwenye link Taffa.info Chagua tena kipengele au categories ya Feature film chagua FUMBUO au MRONI TWINS bonyeza neno vote itakuwa chini utakuwa umepiga kura

Ingia tena kwenye link Taffa.info Chagua tena kipengele au categories ya best culture film chagua FUMBUO au MRONI TWINS kisha onyesha neno vote litakuwa Hapo chini utakuwa umepiga kura

Ingia tena kwenye link Taffa.info Chagua kipengele au categories ya Best Supporting Actress chagua HIDAYA BORI - FUMBUO bonyeza neno vote utakuwa umepiga kura.
Kumbuka kubonyeza neno vote mpaka uone tiki ya kijani juu kulia inayokuja na kupote Hapo kura yako itakuwa tayari Asante Mroni twins Tunatanguliza shukran, Mungu akubariki
Daaah
 
Kesho ntawapa mrejesho maana nimeshindwa kumkubalia kirahisi ataniona malaya, nimechukua namba zake tu nimemuahidi nitamtafuta.
Daah,
Mbuzi kafia kwa muuza supu afu mpishi anachelewa kuwasha jiko!!!!

Mrejesho tafadhali
 
Back
Top Bottom