Upo wapi nije nikusaidie shida yako, hata kama mkoa mwingine mitadafiri nijeNdio na asbh yoteee hii balaa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo wapi nije nikusaidie shida yako, hata kama mkoa mwingine mitadafiri nijeNdio na asbh yoteee hii balaa,
LishangaziMkuu kwani una umri gani?maana huyo binti mdogo aliyekutongoza tayari ana 44 ..
Nitasafiri nijeUpo wapi nije nikusaidie shida yako, hata kama mkoa mwingine mitadafiri nije
Sasa unaungiza mfupa badala ya nyamaKuvunjika km vipi?
Njoo Zinn[emoji2957]Upo wapi nije nikusaidie shida yako, hata kama mkoa mwingine mitadafiri nije
Karibu Arusha Dar,Nitasafiri nije
Nyama gani?Sasa unaungiza mfupa badala ya nyama
Wewe sio ashanto.....agaNgoja kesho nionane nae nilete ushahidi
Jaman, mtumie tuu hela. Muamala haunaga blockKa Irene kangu kamemaliza form four mwaka Jana.Mda mwingi sjakapiga miti majuzi nimekaita nimekakula nashangaa papuchi inatoa harufu.Usiku tunachati nikakaeleza Yale mabadiliko ya mwili nashangaa kameniblock[emoji23][emoji23][emoji23] Wakati nilitaka nikape pesa kaende Hospital.
Nyama tamutamuNyama gani?
Alaf anamzungushaSasa hii tuite vp? Mbuzi kafia kwa muuza supu au inzi kafia kwenye kidonda?
Kazi kwako mkuu.
AhsanteNjoo Zinn[emoji2957]
Oya mkuu leta mwendelezo basi mzee Baba au umesha sahau tena.Wakuu mmebarikiwa,
Leo katika pitapita zangu mtaani, kuna mabinti walikiwa wamekaa kibarazani wanasukana, nilipita bila kuwasalimia maana walikuwa bize hivi.
Sasa wakati narudi njia ileile nikaona binti mmoja anasimama anakuja barabarani akanisimamisha akanipa hi, nikaitikia fresh tu.
Akaanza kujiumauma ooh kaka samahani unajua nakuonaga unapita nawaambiaga wenzangu yule kaka nampenda sasa leo umepita nimeoana nikusalimie, nikamjibu asante ondoa shaka kwa hiyo bado unanipenda au unawaambiaga tu rafiki zako?
Akajibu ndio hivyo sahamani lakini, wakuu hii haliya kutongozwa na binti huyu imenikumbusha miaka 15 nyuma wakati niko kijana barobaro mabinti walikuwa wananitongoza haipiti mwezi, hapa miaka ya katikati ubize wa maisha na nini nikawa sijijali sana ila sasa binti huyu amenikumbusha ujana wangu.
Kesho ntawapa mrejesho maana nimeshindwa kumkubalia kirahisi ataniona malaya, nimechukua namba zake tu nimemuahidi nitamtafuta.
Hongera sana mkuuWakuu mmebarikiwa,
Leo katika pitapita zangu mtaani, kuna mabinti walikiwa wamekaa kibarazani wanasukana, nilipita bila kuwasalimia maana walikuwa bize hivi.
Sasa wakati narudi njia ileile nikaona binti mmoja anasimama anakuja barabarani akanisimamisha akanipa hi, nikaitikia fresh tu.
Akaanza kujiumauma ooh kaka samahani unajua nakuonaga unapita nawaambiaga wenzangu yule kaka nampenda sasa leo umepita nimeoana nikusalimie, nikamjibu asante ondoa shaka kwa hiyo bado unanipenda au unawaambiaga tu rafiki zako?
Akajibu ndio hivyo sahamani lakini, wakuu hii haliya kutongozwa na binti huyu imenikumbusha miaka 15 nyuma wakati niko kijana barobaro mabinti walikuwa wananitongoza haipiti mwezi, hapa miaka ya katikati ubize wa maisha na nini nikawa sijijali sana ila sasa binti huyu amenikumbusha ujana wangu.
Kesho ntawapa mrejesho maana nimeshindwa kumkubalia kirahisi ataniona malaya, nimechukua namba zake tu nimemuahidi nitamtafuta.