Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Duh sasa mbona akili na umri havioani?Me nina 48 now nakaribia 49 mwei march
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh sasa mbona akili na umri havioani?Me nina 48 now nakaribia 49 mwei march
Nilitoka kzn nikasema leo ngoja nipite shivas, nikanywa alaf nikapitiliza jaman, siku hiyo nilitaka tu kufurahi, muda wa kuondoka kumbe kuna lifisi lilikuwa linanimendea lilijoin nilipokuwa nimekaa tukaanza kunywa nalo, nimefika muda wa kuondoka likaniambia nisiondoke nikasema nahitaji kupumzika likaniambia litanipeleka nikanwambia nina gari, basi akasema atanisindikiza nikatoka yaani wewe achaaa ... Story itaendelea wewe fisiPole sana,tupe story ilikuwaje?[emoji3]
Anakaribia kustaafu kwa hiariDuh sasa mbona akili na umri havioani?
Kupatwa kwa mwanaume mtu mzima, katongozwa na katoto alaf bado anakazungushaaHadithi yako inatufundisha nini?.
Siku hizi watu wanamatako hata wanaume, sura hata mbuzi anayooTatizo sio kutongozwa vp yaliyomo yamo kwa uyo mrembo tako, sura lipo au ndio wale kina mwajuma ndala ndefu
Mloganzila wanatusaidia jaman, [emoji3059]Ndio natoka kazini now, kuna mwanamke nilienda kukutana nae huko Goba, kaka kuna wanawake wameumbika.
Kama upo Dar, nakukumbusha biashara imekua ngumu kwaio mbinu zimebadilika za kibiashara.Wakuu mmebarikiwa,
Leo katika pitapita zangu mtaani, kuna mabinti walikiwa wamekaa kibarazani wanasukana, nilipita bila kuwasalimia maana walikuwa bize hivi.
Sasa wakati narudi njia ileile nikaona binti mmoja anasimama anakuja barabarani akanisimamisha akanipa hi, nikaitikia fresh tu.
Akaanza kujiumauma ooh kaka samahani unajua nakuonaga unapita nawaambiaga wenzangu yule kaka nampenda sasa leo umepita nimeoana nikusalimie, nikamjibu asante ondoa shaka kwa hiyo bado unanipenda au unawaambiaga tu rafiki zako?
Akajibu ndio hivyo sahamani lakini, wakuu hii haliya kutongozwa na binti huyu imenikumbusha miaka 15 nyuma wakati niko kijana barobaro mabinti walikuwa wananitongoza haipiti mwezi, hapa miaka ya katikati ubize wa maisha na nini nikawa sijijali sana ila sasa binti huyu amenikumbusha ujana wangu.
Kesho ntawapa mrejesho maana nimeshindwa kumkubalia kirahisi ataniona malaya, nimechukua namba zake tu nimemuahidi nitamtafuta.
Nachukia sana hii hali angalia tu asije akakupiga madole 🖕🏽🖕🏽🖕🏽Akajibu ndio hivyo sahamani lakini, wakuu hii haliya kutongozwa na binti huyu imenikumbusha miaka 15 nyuma wakati niko kijana barobaro mabinti walikuwa wananitongoza haipiti mwezi, hapa miaka ya katikati ubize wa maisha na nini nikawa sijijali sana ila sasa binti huyu amenikumbusha ujana wangu.
Ukimwi utakua umempenda siku nyingi piaUkipewa na ukimwi pia uje kutuambia
Basha huyo ooho mtapigwa madole 🖕🏽😘😘😘😘
Msome vizuri atakuambia yeye ni nani, punguza maswali ya kiduanzi utakalishwa kwenye 🖕🏽🖕🏽🖕🏽umejuaje?au ashakufumua nini?
🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽 Unatafuta tabu wewenjoo nae niwafir.e wotee
Mkuu kwani una umri gani?maana huyo binti mdogo aliyekutongoza tayari ana 44 ..
[emoji23][emoji23]Binti wa miaka 44 [emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwamba fisi anaweza kulinda usalama wa nyama buchani!