Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,932
- 2,525
Ww hujawahi kutongozwa?Kwa mwandiko huu lazima utongozwe. real men have gone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww hujawahi kutongozwa?Kwa mwandiko huu lazima utongozwe. real men have gone.
Tarehe za siku kuu hizi, ni bomu hilo unategwa, shauri yako.Wakuu mmebarikiwa,
Leo katika pitapita zangu mtaani, kuna mabinti walikiwa wamekaa kibarazani wanasukana, nilipita bila kuwasalimia maana walikuwa bize hivi.
Sasa wakati narudi njia ileile nikaona binti mmoja anasimama anakuja barabarani akanisimamisha akanipa hi, nikaitikia fresh tu.
Akaanza kujiumauma ooh kaka samahani unajua nakuonaga unapita nawaambiaga wenzangu yule kaka nampenda sasa leo umepita nimeoana nikusalimie, nikamjibu asante ondoa shaka kwa hiyo bado unanipenda au unawaambiaga tu rafiki zako?
Akajibu ndio hivyo sahamani lakini, wakuu hii haliya kutongozwa na binti huyu imenikumbusha miaka 15 nyuma wakati niko kijana barobaro mabinti walikuwa wananitongoza haipiti mwezi, hapa miaka ya katikati ubize wa maisha na nini nikawa sijijali sana ila sasa binti huyu amenikumbusha ujana wangu.
Kesho ntawapa mrejesho maana nimeshindwa kumkubalia kirahisi ataniona malaya, nimechukua namba zake tu nimemuahidi nitamtafuta.
Amekutongozaje mzee hivyo, au anatafuta maokoto?Me nina 48 now nakaribia 49 mwei march
Akili ni nywele kila mtu ana zake[emoji2]Amekutongozaje mzee hivyo, au anatafuta maokoto?
Mhmm!! Ili kupata vichekesho vingi km hivi nibonyeze ngapi?
Kuna mambo yanafurahisha sana...Kesho ntawapa mrejesho maana nimeshindwa kumkubalia kirahisi ataniona malaya, nimechukua namba zake tu nimemuahidi nitamtafuta.
Usiku huyo demu huwa anakuwa pale Corner Bar anajiuza..Wewe unaona umeokota dodo...aiseeWakuu mmebarikiwa,
Leo katika pitapita zangu mtaani, kuna mabinti walikiwa wamekaa kibarazani wanasukana, nilipita bila kuwasalimia maana walikuwa bize hivi.
Sasa wakati narudi njia ileile nikaona binti mmoja anasimama anakuja barabarani akanisimamisha akanipa hi, nikaitikia fresh tu.
Akaanza kujiumauma ooh kaka samahani unajua nakuonaga unapita nawaambiaga wenzangu yule kaka nampenda sasa leo umepita nimeoana nikusalimie, nikamjibu asante ondoa shaka kwa hiyo bado unanipenda au unawaambiaga tu rafiki zako?
Akajibu ndio hivyo sahamani lakini, wakuu hii haliya kutongozwa na binti huyu imenikumbusha miaka 15 nyuma wakati niko kijana barobaro mabinti walikuwa wananitongoza haipiti mwezi, hapa miaka ya katikati ubize wa maisha na nini nikawa sijijali sana ila sasa binti huyu amenikumbusha ujana wangu.
Kesho ntawapa mrejesho maana nimeshindwa kumkubalia kirahisi ataniona malaya, nimechukua namba zake tu nimemuahidi nitamtafuta.
Nasubiri jibu na mm [emoji23]Kutongozwa si tatizo. Tatizo ni jibu lako la ........ "asante"
Dada yako naye ajibu vipi akiambiwa nakupenda au umependeza?.
Kwani wanaume tunajibu vipi wakulungwa?
Ndugu mtani wa wazaramo,kumekucha,je leo umeenda kwenye harakati za kutafuta🤔Wakuu mmebarikiwa,
Leo katika pitapita zangu mtaani, kuna mabinti walikiwa wamekaa kibarazani wanasukana, nilipita bila kuwasalimia maana walikuwa bize hivi.
Sasa wakati narudi njia ileile nikaona binti mmoja anasimama anakuja barabarani akanisimamisha akanipa hi, nikaitikia fresh tu.
Akaanza kujiumauma ooh kaka samahani unajua nakuonaga unapita nawaambiaga wenzangu yule kaka nampenda sasa leo umepita nimeoana nikusalimie, nikamjibu asante ondoa shaka kwa hiyo bado unanipenda au unawaambiaga tu rafiki zako?
Akajibu ndio hivyo sahamani lakini, wakuu hii haliya kutongozwa na binti huyu imenikumbusha miaka 15 nyuma wakati niko kijana barobaro mabinti walikuwa wananitongoza haipiti mwezi, hapa miaka ya katikati ubize wa maisha na nini nikawa sijijali sana ila sasa binti huyu amenikumbusha ujana wangu.
Kesho ntawapa mrejesho maana nimeshindwa kumkubalia kirahisi ataniona malaya, nimechukua namba zake tu nimemuahidi nitamtafuta.
Ndio natoka kazini now, kuna mwanamke nilienda kukutana nae huko Goba, kaka kuna wanawake wameumbika.Ndugu mtani wa wazaramo,kumekucha,je leo umeenda kwenye harakati za kutafuta🤔
nimecheka kwa nguvu aisee ....Kapate supu kaka pombe bado haijatoka kichwani
Pole sana,tupe story ilikuwaje?😀Umenikumbusha mbali jamani, bado kidogo niliwe tunda kwenye gari mitaa ya shivaz [emoji2][emoji2]
Mafisi jamani, nimeyamisssikuwahuni wakikuomba tako niambie.