mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Ok,,basi hamjapishana sn umri na huyo binti,,huna haja ya kuhofia chochoteMe nina 48 now nakaribia 49 mwei march
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok,,basi hamjapishana sn umri na huyo binti,,huna haja ya kuhofia chochoteMe nina 48 now nakaribia 49 mwei march
Alidai ana 48 kama sijakoseaMkuu kwani una umri gani?maana huyo binti mdogo aliyekutongoza tayari ana 44 ..
OkAlidai ana 48 kama sijakosea
Nilikoshinda hupajui mkuu, pataje nikupe laki sasa hiviMtani wa Taifa ilikuwa saa ngapi hiyo? Ulikoshinda nakujua. Nikupe na picha yako?
Au huyo binti umekutana nae ukiwa usingizini
Yaani acha tu mkuu, me zamani wanawake walikuwa wanasema naringa, nina dharau,najiskia nk. Kumbe walikuwa hawawezi kuniingia kunichana makavu ila baadhi yao waliweza ndio hao waliokuwa wananitongoza mara kwa mara.Dah.....Moja ya changamoto yangu ni hii, wabinti wanavutiwa sana na mm lakini ,dah mm navutiwa sana na mrembo fulani bahati mbaya mrembo hanitaki tena
Brother zamani yako ndo sasa yangu,Yaani acha tu mkuu, me zamani wanawake walikuwa wanasema naringa, nina dharau,najiskia nk. Kumbe walikuwa hawawezi kuniingia kunichana makavu ila baadhi yao waliweza ndio hao waliokuwa wananitongoza mara kwa mara.
Si hiyo au?Nilikoshinda hupajui mkuu, pataje nikupe laki sasa hivi
Ushawahi tongozwa na mtu na rafiki yake au na dada mtu na mdogo ,Kutongozwa si tatizo. Tatizo ni jibu lako la ........ "asante"
Dada yako naye ajibu vipi akiambiwa nakupenda au umependeza?.
Kwani wanaume tunajibu vipi wakulungwa?
🤣🤣🤣Daa!Usikubali kirahisi mwaya atakuona malaya, mzungushe kidogo🤣🤣