Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wengine sisi tushalambwa sana makofi... na nshang'oa kucha sana kwa kukimbizwa na mama.... acha tuNakiri nimekula sana vifinyo aiseh.
Kwa mshua nilikulaga mβbamizo kama wa North Koreaπ€£π€£
Siamini kama sasa hivi amekuwa mshkaji wangu
Hadi sasa hujasema kama vifinyo vilikuwa vya mapaja au la... NasubiriaNakiri nimekula sana vifinyo aiseh.
Kwa mshua nilikulaga mβbamizo kama wa North Koreaπ€£π€£
Siamini kama sasa hivi amekuwa mshkaji wangu
Hahahah nakpata kimndooo wewe n noumaaaaaa
Watufikirie kwahilo jamani (voicenote)kuandika sana ndo swezi kungekua na kasehemu ka voicenote
yaaaaaniWatufikirie kwahilo jamani (voicenote)
Kumbe tipo wengi tuliopitia hii hatua.[emoji28][emoji28][emoji28]nimejikuta nacheka kifala sana. Aki tena.
Nakumbuka kuna siku nilimuomba mama hela ya daftari enzi hizooo[emoji28][emoji28]niko darasa la tatu akaniambia nitakupa pesa ya daftari kesho nenda shule hivyo hivyo[emoji17][emoji17] nikamtegea katoka nje hapo niko na ufagio wangu na kidumu cha maji[emoji2957][emoji2957] si nikamuibia hela bhna nikaenda kununua daftari[emoji38][emoji38] mbona shughuli niliipata mimi jamani[emoji23][emoji23]
Yule mwanamke anajua kufinya jaman kha[emoji1787][emoji1787] nilifinywa mimi..[emoji1][emoji1][emoji1]mpka nikahisi kutapika damu..halafu alikuwa ananifinya huku anacheka unaweza kujua unangβatwa na siafu[emoji28][emoji28]
Nakumbuka aliniambia ninakupa kipondo kwa sababu umeiba na sio kwa sababu umenunua daftari.
Ama kweli mtoto usimnyime adhabu.[emoji28][emoji23]vile vifinyo vilinirudisha kwenye mstari wallah.[emoji23][emoji23]
Sijui hata imekuwaje leo kukumbuka mapigo konki ya mama Chakorii[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Watufikirie kwahilo jamani (voicenote)
Zimeota sema zipo kama tangawiziAi
aiseh..pole sana mkuu..
Vipi kucha zimeshaota??
Zimeota sema zipo kama tangawizi
Bora muwekewe hizo voice note mpate kuvurugwa vizuriππ
Ndicho kilichobaki mkuu hakuna namnaππ
Tena ni ukatili wa kiwango cha makusudi kabisaπ€£π€£Dah kweli hapo utakuwa ni ukatili kiwango cha juu..
Hahah..ila kwa kuwa kuna viti vya matairi sasa hivi ni mwendo wa kuserereka navyo tu kutoka desk moja hadi jingine....itakuwa aibu sana nimetoka kusikiliza voice note yako halafu nisimame...hilo tent lake nitawaambia nini watu!!?ππ
Tena ni ukatili wa kiwango cha makusudi kabisaπ€£π€£
Mbona mtajuta...kila saa dede tuπ π