πππ jiwe litasaga jiwe mkuu...Hahahah ..dede ..
Ah ila mtu "akizidiwa" si ruksa kuomba usaidizi?....maana ukatili wa makusudi yafaa ujibiwe kwa ukarimu wa bahati mbayaπ
πππ jiwe litasaga jiwe mkuu...
Itabidi utafute kiburudisho cha kuokoa jahazi hapo kwa ofisi mkuuπ€£π€£
Labda wewe ndie uliyekuwa abused mkuu sio mimi.
Vyovyote utakavyoitafsiri wewe lakini siwezi husisha vifinyo vyangu na huyo bwana Google.π₯Soma kitu inaitwa "Stockholm syndrome" ujue kuwa kuna watu wanaweza kuwa-abused na kufurahia na kumshabikia abuser wao. Ingia Google, utajua maana yake. Umefinywa halafu unafurahia ulivyofinywa! Halau haulitambui hilo. Utakuwa na Stockholm syndrome. Na ujue huo ni ugonjwa.
Vyovyote utakavyoitafsiri wewe lakini siwezi husisha vifinyo vyangu na huyo bwana Google.π₯
Sasa hayo ndo makosa ya aliyependekeza voicenoteπππ mkuu inabidi alaumiwe
KeMwandiko unasemaje mkuu
Alikuwa anakufinya kwa kimndoo?
[/QUOTE
Bibi hiyo.....moshi
π€£π€£π€£naona unajaribu kujitetea ili uonewe hurumaπ€ͺπ€ͺ
Ni tangawizi haswaππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ nimejaribu kuifikiria tangawizi jinsi ilivyo nimejikuta nacheka tu
Ahahahahaa kumbe natembea na dawa...Hongera mwamba..ukipatwa na mafua kata kidole tengeneza dawa utibu mafuaπ€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ujanja wako ni wa kiwango cha kokoto..π€π€
ππππππ