Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
- Thread starter
- #101
😂😂😂 jiwe litasaga jiwe mkuu...Hahahah ..dede ..
Ah ila mtu "akizidiwa" si ruksa kuomba usaidizi?....maana ukatili wa makusudi yafaa ujibiwe kwa ukarimu wa bahati mbaya😜
Itabidi utafute kiburudisho cha kuokoa jahazi hapo kwa ofisi mkuu🤣🤣