Leo nimevikumbuka vifinyo vya mama jamani

Afu wewe ndio maana ulikuwa unafinywa!...emergency inakuwepogo lakini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka sana jmni
 
Hilo jina la utani la Mbowe. Abuse imekuwa utamaduni wetu. Mwanamke asipopigwa anaona hapendwi. Mtoto akipigwa anaona alinyooshwa sawa. Abuse ikishakuwa utamaduni, inaonekana kuwa kitu cha kawaida.
Basi wewe ni mkorofi.

Au utaniambia tena mkorofi ni mbunge wenu😏😏

Tuache na utamaduni wetu we rudi nchini mwako
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu wangu wee nimecheka hadi baaas, afu kwa sauti hadi watu wananshangaa. Lol

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu wangu wee nimecheka hadi baaas, afu kwa sauti hadi watu wananshangaa. Lol

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Cheka mkuu..huyo ndo mama yangu sasa..alikuwa akikuamulia unaweza jikuta unanena kwa lugha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…