Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh darasa la tatu ushaanza kabumbu! mbona hatari πππNamaanisha kabumbu..enzi hizo lkni
Hivi nyie watu mbn hamniamin jamaniπ π
kuandika sana ndo swezi kungekua na kasehemu ka voicenoteFunguka madam
[emoji28][emoji28][emoji28]nimejikuta nacheka kifala sana. Aki tena.
Nakumbuka kuna siku nilimuomba mama hela ya daftari enzi hizooo[emoji28][emoji28]niko darasa la tatu akaniambia nitakupa pesa ya daftari kesho nenda shule hivyo hivyo[emoji17][emoji17] nikamtegea katoka nje hapo niko na ufagio wangu na kidumu cha maji[emoji2957][emoji2957] si nikamuibia hela bhna nikaenda kununua daftari[emoji38][emoji38] mbona shughuli niliipata mimi jamani[emoji23][emoji23]
Yule mwanamke anajua kufinya jaman kha[emoji1787][emoji1787] nilifinywa mimi..[emoji1][emoji1][emoji1]mpka nikahisi kutapika damu..halafu alikuwa ananifinya huku anacheka unaweza kujua unangβatwa na siafu[emoji28][emoji28]
Nakumbuka aliniambia ninakupa kipondo kwa sababu umeiba na sio kwa sababu umenunua daftari.
Ama kweli mtoto usimnyime adhabu.[emoji28][emoji23]vile vifinyo vilinirudisha kwenye mstari wallah.[emoji23][emoji23]
Sijui hata imekuwaje leo kukumbuka mapigo konki ya mama Chakorii[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
πππππππHata mimi nilikuwa kama wewe uzalendo ukanishinda..
Sasa naweza kuandika mgazeti huoπ π π waaahii
mbona unaniyumbisha chifu au wewe unamaanisha kabumbu la kina sallah na sio kabumbu?π€£π€£π€£nilipoteza kipaji mkuu..
Nilikuwa nikitegemewa na darasa mkuu usishangaeπ
Ila nilikuwa na speed jamaniπ π kama Sallah
Kwani wew ukisikia kabumbu unawaza nini..mbona unaniyumbisha chifu au wewe unamaanisha kabumbu la kina sallah na sio kabumbu?
maana nilijua unamaanisha kabumbu ndomaana nikashangaa
π€£π€£π
si nawaza hili hili kabumbu chifu!Kwani wew ukisikia kabumbu unawaza nini..
Labda tuanzie hapo kwanza
heee chifu mimi mwanaume asee natumaje salamu sasa!π π π π haya tuma salamu kama umenielewa..π₯π₯π₯
unamaanisha kutuma salamu hizi nazojua au kutuma salamu kama salamu ?π π π π haya tuma salamu kama umenielewa..π₯π₯π₯