Leo nimevikumbuka vifinyo vya mama jamani

Leo nimevikumbuka vifinyo vya mama jamani

[emoji28][emoji28][emoji28]yule mwanamke ni shida jaman.
Halafu alikuwa na short nails lakin[emoji28][emoji28]akiniganda sasa[emoji3344][emoji3344]Unaweza dhani umeng’ang’aniwa ma siafu
[emoji23][emoji23][emoji23] pole, mama yangu alikua anafinya na vile visu vinakaaga kwene seti ya vijiko havina makali kihivyo jamani nina alama hadi leo kwene shavu sitasahau.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] pole, mama yangu alikua anafinya na vile visu vinakaaga kwene seti ya vijiko havina makali kihivyo jamani nina alama hadi leo kwene shavu sitasahau.
🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️😅😅😅pole yako aiseeh...
Jitahidi kupaka mafuta ya nazi ya kutengeneza mwenywe taratibu alama zitaanza kuondoka.
 
😅😅😅nimejikuta nacheka kifala sana. Aki tena.

Nakumbuka kuna siku nilimuomba mama hela ya daftari enzi hizooo😅😅niko darasa la tatu akaniambia nitakupa pesa ya daftari kesho nenda shule hivyo hivyo😔😔 nikamtegea katoka nje hapo niko na ufagio wangu na kidumu cha maji🤪🤪 si nikamuibia hela bhna nikaenda kununua daftari😆😆 mbona shughuli niliipata mimi jamani😂😂

Yule mwanamke anajua kufinya jaman kha🤣🤣 nilifinywa mimi..😄😄😄mpka nikahisi kutapika damu..halafu alikuwa ananifinya huku anacheka unaweza kujua unang’atwa na siafu😅😅

Nakumbuka aliniambia ninakupa kipondo kwa sababu umeiba na sio kwa sababu umenunua daftari.

Ama kweli mtoto usimnyime adhabu.😅😂vile vifinyo vilinirudisha kwenye mstari wallah.😂😂

Sijui hata imekuwaje leo kukumbuka mapigo konki ya mama Chakorii😂😂😂
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
Kama wa kike utakuwa ulifinywa mapajani...
 
Basi kuna siku tulitoka na mama alikwenda kwa shoga ake.[emoji28][emoji28]hamadi tukakuta chakula [emoji4][emoji4]
Tukakaribishwa chakula mama akakataa ikaja zamu yangu kukaribishwa[emoji2296][emoji2296][emoji2296]Mama alinikata jicho takatifu nikahisi kizungu zungu[emoji1][emoji1]
[emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hukuletaga ule utundu wetu uleeee akakufinya mapajani ????
Cc Smart911
 
Watoto wa kiume hatukuwa tunafinywa.. wa kike wamefinywa sana za mapajani
Nakiri nimekula sana vifinyo aiseh.

Kwa mshua nilikulaga m’bamizo kama wa North Korea🤣🤣

Siamini kama sasa hivi amekuwa mshkaji wangu
 
[emoji3591][emoji3591][emoji3591]Wazazi wetu waliyajua majukumu yao na tuko hivi tulivyo sababu walitulea vyema. Tungelelewa kama hawa mabroila wa kisasa wanavyolelewa sidhani kama tungekuwa hivi tulivyo. Mungu Awabariki wazazi wetu na kuwapa maisha marefu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Nimekuona leo Mbeya
 
Back
Top Bottom