Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Kama kuna mtandao wezi wa bundle za internet basi halotel ni kiboko. Unaweza jiunga kifurushi cha GB kadhaa usiingie YouTube wala Instagram, uingie JamiiForums kwa masaa matatu ushangae kifurushi kimeisha.
Tena hapa nilipo mtandao wao uko slow kudownload mb 20 tu unaweza chukua nusu saa. Ni bora nibaki zanu Voda japo nao wanazingua ila afadahLi nibaki Voda kuliko hawa wezi.
Tena hapa nilipo mtandao wao uko slow kudownload mb 20 tu unaweza chukua nusu saa. Ni bora nibaki zanu Voda japo nao wanazingua ila afadahLi nibaki Voda kuliko hawa wezi.