Leo nimevunja rasmi line ya Halotel

Leo nimevunja rasmi line ya Halotel

Tigo is the best, especially kama unakaa au shughuli zako ni mjini. 4G uhakika kwa miji mingi haoa Tz na bando hawaibi kivile, me najiunga 4GB kwa week kwa elfu 5 naangalia kila kitu na laptop yangu iko connected 24/7 na week namaliza vizuri kabisa
Hahahah unachoangali ni nini hicho kwenye laptop yako ambacho kinakula bundle? Usikute una browse kwenye websites tu na forums kama hivi.

Tigo wanakuwaga wakweli wakishapoteza wateja kwa wingi..Ni mbinu ya kuwarubuni tu wakishawakamata vya kutosha nakupa miezi miwili tu utakuja kusimulia hapa.
 
Kila mtandao una matatizo yake tena makubwa, unaweza furahia spidi ya internet ila vifurushi vyake ni gharama, unaweza furahia gharama ni ndogo ila spidi ya kobe, na kwenye uhuni wote ni wahuni
Ila katika wote Zantel pekee ndio sio muhuni! Try them utakuja kusimulia
 
Mitandao yote iko hivyo, all areshitholes! Zantel nayo kama hiyo unayoilalamikia! Hakuna mahali penye unafuu. Jaribu Royal ya Halotel. Unapata dakika 1000 mitandao yote, GB12, SMS unlimited , all for 30 days. Inaonekana kuwa poa kidogo.
Hamna u poa wowote huko, baada ya 3.5GB za mwanzo ambazo ni unlimited speed 4G utashuhudia poromoko la speed ambalo halijawahi tokea Afrika mashariki na kati. Wanakunyongea kwenye 200kB/sec for the rest of 8.5GB!

Niko mkoani nimeitumia mara 3 nikai shit! Sijui labda kama wa Dar mko favoured!
 
Me nanunua bado China huko ila natumia bongo land technology imekuwa sana
IMG_20200605_184550.jpg
 
Kufa kufaana...

Mkuu mimi natuamia royal ya elf 10 kwa mwezi..
GB 12, Dk 1000 mitandao yote Na SMS 500, vyote kwa mwezi kwa hio buku 10..

ILA CHA KUSHANGAZA SASA,
Week ya pili hii gb 12 tangu ziishe lakini natumia internet nitakavyo, Nachezea youtube, insta na kudownload movie mpaka nachoka vyote hivyo kwa MB 0 ikiwemo hiki nilicho andika na ku upload hapa.

Pili Wananiambia napata Dk 1000 kwa mwezi matokeo yake wamenipa dk Elf 50(50,000)kwa mwezi mitandao yote, Mwezi uliopita walinipa dk 80,000.

Sijui wamenichunuku nini hawa, au ndio nyie mkinyongwa sisi tunainuliwa...View attachment 1469529Siku wakinigeuzia kibao nitaisoma namba
Hongera sana mkuu, kuna shida kwenye system. Code hazijakaa sawa kwa batch yenye line zenu. Siku ma

Admin wakiishtukia wanakuondoeni chap.
 
Wapuuzi hao Halotel. Sitashangaa wakifunga. Kila uchao wanalimwa faini kubwa kubwa.
Kuna wakubwa wa awamu iliyopita wanakomolewa
 
Kama kuna mtandao wezi wa bundle za internet basi halotel ni kiboko. Unaweza jiunga kifurushi cha GB kadhaa usiingie youtube, wala instagram uingie jamiifoorumskwa masaa matatu ushangae kifurushi kimeisha.
Tena hapa nilipo mtandao wao uko slow kudownload mb 20 tu unaweza chukua nusu saa. Ni bora nibaki zanu voda japo nao wanazingua ila afadahri nibaki voda kuliko awa wezi
labda kwako...mm bundle langu naona huwa linaenda kawaida tu
 
Kufa kufaana...

Mkuu mimi natuamia royal ya elf 10 kwa mwezi..
GB 12, Dk 1000 mitandao yote Na SMS 500, vyote kwa mwezi kwa hio buku 10..

ILA CHA KUSHANGAZA SASA,
Week ya pili hii gb 12 tangu ziishe lakini natumia internet nitakavyo, Nachezea youtube, insta na kudownload movie mpaka nachoka vyote hivyo kwa MB 0 ikiwemo hiki nilicho andika na ku upload hapa.

Pili Wananiambia napata Dk 1000 kwa mwezi matokeo yake wamenipa dk Elf 50(50,000)kwa mwezi mitandao yote, Mwezi uliopita walinipa dk 80,000.

Sijui wamenichunuku nini hawa, au ndio nyie mkinyongwa sisi tunainuliwa...View attachment 1469529Siku wakinigeuzia kibao nitaisoma namba
Kuna jamaa yangu anatumia hallotel yeye ikibakia siku moja kabla ya kuisha anajiunga upya hivyo balance yote inakuwa accumulated kwenye bundle mpya.
 
Speed yao inaboa hao watu nikahisi labda ni vile Niko bush kumbe hata mijini Ni hivyo
 
Mimi pia ni ivo ivo niliunga sms ya mwezi zlikuwa zinakata rahehe 29 mwezi wa tano ila mpaka leo nadunda tu
Kufa kufaana.

Mkuu mimi natuamia royal ya elf 10 kwa mwezi.
GB 12, Dk 1000 mitandao yote Na SMS 500, vyote kwa mwezi kwa hio buku 10.

ILA CHA KUSHANGAZA SASA
Week ya pili hii gb 12 tangu ziishe lakini natumia internet nitakavyo, Nachezea youtube, insta na kudownload movie mpaka nachoka vyote hivyo kwa MB 0 ikiwemo hiki nilicho andika na ku upload hapa.

Pili Wananiambia napata Dk 1000 kwa mwezi matokeo yake wamenipa dk Elf 50(50,000)kwa mwezi mitandao yote, Mwezi uliopita walinipa dk 80,000, wakaja kunipa tena dk laki moja.

Sijui wamenichunuku nini hawa, au ndio nyie mkinyongwa sisi tunainuliwa.

View attachment 1469529
Siku wakinigeuzia kibao nitaisoma namba
 
Kama kuna mtandao wezi wa bundle za internet basi halotel ni kiboko. Unaweza jiunga kifurushi cha GB kadhaa usiingie YouTube wala Instagram, uingie JamiiForums kwa masaa matatu ushangae kifurushi kimeisha.

Tena hapa nilipo mtandao wao uko slow kudownload mb 20 tu unaweza chukua nusu saa. Ni bora nibaki zanu Voda japo nao wanazingua ila afadahLi nibaki Voda kuliko hawa wezi.
Una stress tu za maisha
Jambo hilo nalo ni lakufungulia thread?
Angalia ubora wa simu yako kwanza,kuna apps zinakula internet hata kama umezima data kama simu lako feki.Angalia settings
 
Kufa kufaana.

Mkuu mimi natuamia royal ya elf 10 kwa mwezi.
GB 12, Dk 1000 mitandao yote Na SMS 500, vyote kwa mwezi kwa hio buku 10.

ILA CHA KUSHANGAZA SASA
Week ya pili hii gb 12 tangu ziishe lakini natumia internet nitakavyo, Nachezea youtube, insta na kudownload movie mpaka nachoka vyote hivyo kwa MB 0 ikiwemo hiki nilicho andika na ku upload hapa.

Pili Wananiambia napata Dk 1000 kwa mwezi matokeo yake wamenipa dk Elf 50(50,000)kwa mwezi mitandao yote, Mwezi uliopita walinipa dk 80,000, wakaja kunipa tena dk laki moja.

Sijui wamenichunuku nini hawa, au ndio nyie mkinyongwa sisi tunainuliwa.

View attachment 1469529
Siku wakinigeuzia kibao nitaisoma namba
Dah,

Nilikua nina "Kazi" fulani hivi ya ku download.

Best Option ilikua ni kununua Laini ya Halotel nimeambiwa kuna kifurushi cha kuanzia saa 12 jioni hadi saa 12 asubuhi, sasa kwa maneno ya wadau hapa naona bora niache tu.
 
Mimi kwangu halotel na tigo ndio mitandao bora kabisa, unateleza tu bila shida.
 
Kama unataka unafuu wa internet nenda tigo, halotel, airtel ila slow network connection.

Unataka high speed nenda vodacom.

Halafu voda mbona bei yao ni ya kawaida ya 1gb per 1,000, kuna ubaya gani?

Walichokifanya wameamua kuondoa usumbufu, vifurushi vya 1gb per 1,000 vimewekwa kwa mwezi. Hivi vidogo vya siku, wiki wameweka 1.2gb kwa 3,000.

Ukinunua vya mwezi vile unakuta 1gb per 1,000.

Kingine nimegundua hizi smartphone zinahitaji data restrictions vinginevyo zinanyonya datavkama zimerogwa. Data saver ni muhimu sana kuweka background data restrictions vinginevyo hizi data hufyonza mb kama zimerogwa na lawama ttunapelekea mtandao husika. Mimi baada ya kugundua hilo nimesave sana mb.

Kwanza nimeondoa apps zote ambazo sizitumii, sio unakua na apps 30 halafu nyingine zipo tu na wala huzitumii kabisa ila zinanyonya data kwenye auto updates na mambo kama hayo.

Pili nimezuia background data usaage by apps unless niwe naitumia hiyo app.

Leo gb 60 nakaa nazo mwezi mzima huku natumia na kwenye laptop yangu na maisha matamu popote napokua .
20200605_202735.jpg
 
Una stress tu za maisha
Jambo hilo nalo ni lakufungulia thread?
Angalia ubora wa simu yako kwanza,kuna apps zinakula internet hata kama umezima data kama simu lako feki.Angalia settings
Acha ujuaji mwingi..
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kufa kufaana.

Mkuu mimi natuamia royal ya elf 10 kwa mwezi.
GB 12, Dk 1000 mitandao yote Na SMS 500, vyote kwa mwezi kwa hio buku 10.

ILA CHA KUSHANGAZA SASA
Week ya pili hii gb 12 tangu ziishe lakini natumia internet nitakavyo, Nachezea youtube, insta na kudownload movie mpaka nachoka vyote hivyo kwa MB 0 ikiwemo hiki nilicho andika na ku upload hapa.

Pili Wananiambia napata Dk 1000 kwa mwezi matokeo yake wamenipa dk Elf 50(50,000)kwa mwezi mitandao yote, Mwezi uliopita walinipa dk 80,000, wakaja kunipa tena dk laki moja.

Sijui wamenichunuku nini hawa, au ndio nyie mkinyongwa sisi tunainuliwa.

View attachment 1469529
Siku wakinigeuzia kibao nitaisoma namba
itakuwa system zao zina shida.
 
Back
Top Bottom