😁😁😁mkuu mtandao gani huo na mm nikajaribu zari 😀😀😀Kufa kufaana...
Mkuu mimi natuamia royal ya elf 10 kwa mwezi..
GB 12, Dk 1000 mitandao yote Na SMS 500, vyote kwa mwezi kwa hio buku 10..
ILA CHA KUSHANGAZA SASA,
Week ya pili hii gb 12 tangu ziishe lakini natumia internet nitakavyo, Nachezea youtube, insta na kudownload movie mpaka nachoka vyote hivyo kwa MB 0 ikiwemo hiki nilicho andika na ku upload hapa.
Pili Wananiambia napata Dk 1000 kwa mwezi matokeo yake wamenipa dk Elf 50(50,000)kwa mwezi mitandao yote, Mwezi uliopita walinipa dk 80,000.
Sijui wamenichunuku nini hawa, au ndio nyie mkinyongwa sisi tunainuliwa...View attachment 1469529Siku wakinigeuzia kibao nitaisoma namba
Mimi nilianza nao fresh tu maana kwa siku uwa natumia kama 3gb kwa kazi zangu ila ghafla wakaanza zingua.Kufa kufaana...
Mkuu mimi natuamia royal ya elf 10 kwa mwezi..
GB 12, Dk 1000 mitandao yote Na SMS 500, vyote kwa mwezi kwa hio buku 10..
ILA CHA KUSHANGAZA SASA,
Week ya pili hii gb 12 tangu ziishe lakini natumia internet nitakavyo, Nachezea youtube, insta na kudownload movie mpaka nachoka vyote hivyo kwa MB 0 ikiwemo hiki nilicho andika na ku upload hapa.
Pili Wananiambia napata Dk 1000 kwa mwezi matokeo yake wamenipa dk Elf 50(50,000)kwa mwezi mitandao yote, Mwezi uliopita walinipa dk 80,000.
Sijui wamenichunuku nini hawa, au ndio nyie mkinyongwa sisi tunainuliwa...View attachment 1469529Siku wakinigeuzia kibao nitaisoma namba
Mkuu inaelekea uko na menu ya kwakotu. Kwangu hizo gb napata kwa Tsh 20,000. Kama hutojali tueleze unavyozipata.Kufa kufaana...
Mkuu mimi natuamia royal ya elf 10 kwa mwezi..
GB 12, Dk 1000 mitandao yote Na SMS 500, vyote kwa mwezi kwa hio buku 10..
ILA CHA KUSHANGAZA SASA,
Week ya pili hii gb 12 tangu ziishe lakini natumia internet nitakavyo, Nachezea youtube, insta na kudownload movie mpaka nachoka vyote hivyo kwa MB 0 ikiwemo hiki nilicho andika na ku upload hapa.
Pili Wananiambia napata Dk 1000 kwa mwezi matokeo yake wamenipa dk Elf 50(50,000)kwa mwezi mitandao yote, Mwezi uliopita walinipa dk 80,000.
Sijui wamenichunuku nini hawa, au ndio nyie mkinyongwa sisi tunainuliwa...View attachment 1469529Siku wakinigeuzia kibao nitaisoma namba
Mitandao yote iko hivyo, all areshitholes! Zantel nayo kama hiyo unayoilalamikia! Hakuna mahali penye unafuu. Jaribu Royal ya Halotel. Unapata dakika 1000 mitandao yote, GB12, SMS unlimited , all for 30 days. Inaonekana kuwa poa kidogo.Kama kuna mtandao wezi wa bundle za internet basi halotel ni kiboko. Unaweza jiunga kifurushi cha GB kadhaa usiingie youtube, wala instagram uingie jamiifoorumskwa masaa matatu ushangae kifurushi kimeisha.
Tena hapa nilipo mtandao wao uko slow kudownload mb 20 tu unaweza chukua nusu saa. Ni bora nibaki zanu voda japo nao wanazingua ila afadahri nibaki voda kuliko awa wezi
Kweli watu na bahati zao.Kufa kufaana...
Mkuu mimi natuamia royal ya elf 10 kwa mwezi..
GB 12, Dk 1000 mitandao yote Na SMS 500, vyote kwa mwezi kwa hio buku 10..
ILA CHA KUSHANGAZA SASA,
Week ya pili hii gb 12 tangu ziishe lakini natumia internet nitakavyo, Nachezea youtube, insta na kudownload movie mpaka nachoka vyote hivyo kwa MB 0 ikiwemo hiki nilicho andika na ku upload hapa.
Pili Wananiambia napata Dk 1000 kwa mwezi matokeo yake wamenipa dk Elf 50(50,000)kwa mwezi mitandao yote, Mwezi uliopita walinipa dk 80,000.
Sijui wamenichunuku nini hawa, au ndio nyie mkinyongwa sisi tunainuliwa...View attachment 1469529Siku wakinigeuzia kibao nitaisoma namba
Rudini nyumbani kumenoga.
Ukiwa nje ya mji fanya kuwasha data roaming.Huko nework sio kabisa. Msg zinafail, ukitoka nje ya mji kidogo tu mtandao unakata. Hii labda mjini kwenye 4G yao
Kufa kufaana...
Mkuu mimi natuamia royal ya elf 10 kwa mwezi..
GB 12, Dk 1000 mitandao yote Na SMS 500, vyote kwa mwezi kwa hio buku 10..
ILA CHA KUSHANGAZA SASA,
Week ya pili hii gb 12 tangu ziishe lakini natumia internet nitakavyo, Nachezea youtube, insta na kudownload movie mpaka nachoka vyote hivyo kwa MB 0 ikiwemo hiki nilicho andika na ku upload hapa.
Pili Wananiambia napata Dk 1000 kwa mwezi matokeo yake wamenipa dk Elf 50(50,000)kwa mwezi mitandao yote, Mwezi uliopita walinipa dk 80,000.
Sijui wamenichunuku nini hawa, au ndio nyie mkinyongwa sisi tunainuliwa...View attachment 1469529Siku wakinigeuzia kibao nitaisoma namba
Hawachelewi na kimeseji chao cha kishenziKama kuna mtandao wezi wa bundle za internet basi halotel ni kiboko. Unaweza jiunga kifurushi cha GB kadhaa usiingie youtube, wala instagram uingie jamiifoorumskwa masaa matatu ushangae kifurushi kimeisha.
Tena hapa nilipo mtandao wao uko slow kudownload mb 20 tu unaweza chukua nusu saa. Ni bora nibaki zanu voda japo nao wanazingua ila afadahri nibaki voda kuliko awa wezi