Leo nina furaha sana usiku huu

Kila napotaka anataka nae apite ana matatizo gani huyu
Ana nyota ya mkia kuufata mwili..

Kama kote huko kapita, malizia na hapo tu napo apite roho yake itulie.

Itakuwa unapita pazuri ndio maana hebu igiza kupita kwenye chaka la miiba tuone kama atathubutu kupita..

Wewe kama wenger unapoint wenzio wanakuja kuchukua.. [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…