Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
-
- #521
Ntamcheki stuna wallah maana bediebey aliacha mzigoSijui yupo wapi
Msione kichaka sketi magotini!!!
Hunitak kweli kabisa?Mie simtaki, wacha akubane bane roho yake isuuzike tuu. [emoji23]
Usijibu kabisa maana nakutazama hapa wewe na mwandikp weweJamani naogopa kujibu hapa hadharani nitahatarisha mahusiano yangu.
Tutake radhi mashabiki wa arsenal bhana.Mim ni kama shabiki wa asernal kwa uvumilivu
Usipoelewa basi tenaHahahahaaa
Na wewe je ipo kwani?Kwa ninavyokuona wewe na Mama Sabrina chuki haiwez wepo.
Hajaliwa. Akasema anashukuru Mungu maana ilibaki hiviii aliwe. Kuongopea uchi wake inahusu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nicheke mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hajafanyajee?
We banana nae tu humo humo..Sasa unanisaidiaje nifanyeje
[emoji23][emoji23][emoji23] mkipigana wenyewe wanakaa pembeni wanawachekaTatizo letu tuna roho nyepesi.
Hatushindwi kupigana.
Si unaona watu wanacatch feelings
Usijibu kabisa maana nakutazama hapa wewe na mwandikp wewe
Tuanze kusimuliana tu. Sema mi bwana kama nakutaka ukanifanya roho ikasuuzika ukienda nisema poa tuWe ni chiziiii,nasikia wenzenu wanasimuliana wakipita sehemu so tuambiane lo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitakusimulia,
Mama Sabrina ananisimulia.
Sio kushare pote sasa we tatizo kiswahili unakikuza sanaSiwez kumuacha alishakubali ntakua nashare nae kwanini kwingine abane
Kweli unayo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Eti kweli mim nna roho ngumu?
Ana nyota ya mkia kuufata mwili..Kila napotaka anataka nae apite ana matatizo gani huyu
Hakuna kituuuMie mbaya, lwanza mbilikimo, pili mweusi kama askari wa kimarekani kajipakaa tope usoni, tatu nina kitambi, yote 9 kumi nina kibamia..
Ntaanza kukupa sema humu vizuri mtihani kweli [emoji23]Na nyie vizuri mnipe
Ha haHuyo docta hata chooni haendi kabisa wanamsingizia