Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uwezekano ukaliwa jamaa amekunywa energy drinks na super malt siku nzima.Uko wapi mi nije nimle huyo kuku...
Uganda kaisha rudisha goli kule [emoji1787][emoji1787]Hapa hapanifai kweli turudi kwenye maswala ya hela
Ni washenzi sanaMademu wa Exotic wanajifanya matawi sana na gharama zao.
Halafu wengi hawaweki picha zao, nilishawahi kumkimbia demu Lodge.
Picha aliyoweka Exotic ni kali sana, pisi ya maana kumbe si yeye, nilichokifanya nikamwambia nachukua kinywaji nje, nikapotea mazima.
Mpaka tuelewane 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mama ongeza tozo.
Yeye ndio alinipandisha kiu sana mana alinitambia kuwa ataniipa yoote alafu kaniacha kwny mataaa [emoji24][emoji24]Safi sana make uliipania mno!!
Daaah mkuu km ulikuwepooo yan, leo cjui km ntapata usingiz
Mweh we unafanya mchezo na nye*** kuna kusomeka vitabu mkuu[emoji23][emoji23]Kunywa maji mengi ya baridi
Fanya physical workout na bila kusahau soma vitabu vya kutosha usiku wa leooo
Sio waongo...unaijua Appointment unaisikia?!?! Kwanza hadi kuipanga hiyo siku lazima.tuwe na uhakika wa hela mfukoni...Huna hela halafu utor Appointment hujipendi!? Kwanza hela inaongeza kujiamini..Nile huyo kuku choma....
Ila jf kumejaa waongo, kila anaekuaga na appointment huwa anaenda supermarket kununua juice, matunda na mazaga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Acha wivuWaganga wanawapiga sana MADEMU.
si ukute huyo mzee kwa umri huo anasimamisha kwa mwezi mara moja tu, hapo hakuna chochote kinasoma. ndio maana mimi maadamu damu inachemka, huwa nahakikisha namchakata waifu vya kutosha kwasababu najua kuna wakati itafika nitakuwa mzee.Waganga wanawapiga sana MADEMU.
si ukute huyo mzee kwa umri huo anasimamisha kwa mwezi mara moja tu, hapo hakuna chochote kinasoma. ndio maana mimi maadamu damu inachemka, huwa nahakikisha namchakata waifu vya kutosha kwasababu najua kuna wakati itafika nitakuwa mzee.
Nimepokea vitisho....kuwa umekunywa energy drink possible na unga unga umepaka, kuku asijenisababishia matatizo, ahsante.Njoo nmekubakishia kipajaa hapa...