Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
We huwa haununui juice, apple, na mazaga?๐Kila mtu wa kishua humu maskini utajikuta wewe tu ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We huwa haununui juice, apple, na mazaga?๐Kila mtu wa kishua humu maskini utajikuta wewe tu ๐
Hawajifunzi tu? Nilikimbia mmoja Bliss Hotel, aliweka picha nyingine kabisa, pumbav zakeHalafu wengi hawaweki picha zao
Njoo nikufunze, Nina wanafunzi kama hao wa kutestia mitambo๐๐๐ niwe mganga sijui
Utanivunja miguu mkuu kwa pressure ๐๐๐Njoo nikufunze, Nina wanafunzi kama hao wa kutestia mitambo
Hahahaha you're disqualifiedutanivunja miguu mkuu kwa pressure ๐๐๐
sipati picha nikianza training kama hao dah! nitawaharibu sanaaa
Maana msema kweli mtu wa maana sana, maana wangetumika na hakuna shimo ambalo lingebaki salama ๐ฅท๐ฅท๐ฅทHahahaha you're disqualified
Ila jf kumejaa waongo, kila anaekuaga na appointment huwa anaenda supermarket kununua juice, matunda na mazaga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Lini unaendae supa maketi ununue juice za box, maapple, chocolate na mazaga....๐๐๐Tupe break basi
Nimefungwa king'ora hapa, siwezi kwenda huko kwa dhumuni la mada hii.Lini unaendae supa maketi ununue juice za box, maapple, chocolate na mazaga....[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila humu [emoji119][emoji119] uongo mwingi
Wasikutishe haoo, njoo bhn mazaga bado yapoo...Nimepokea vitisho....kuwa umekunywa energy drink possible na unga unga umepaka, kuku asijenisababishia matatizo, ahsante.
Hahahhaha nanunua pizza kapiyoca na tikeno muskino tacos ๐ mixa ma tequillaWe huwa haununui juice, apple, na mazaga?๐
Hahaha kumbe kila mvulana lijali imempata hii....nakumbuka nililipia lodge 15,000. Namsubiri moureen wangu atokeee....kaniacha kwenye mataa.....Bro mi nililipia hadi room ya g.house dem hakuja na sim hakupokea, siku nyingine tu eti anasema alipata ajali ya bodaboda hadi kuzimia baada ya kupigiza kichwa kwenye lami cha ajabu hadi leo sijawahi kuona kovu wala aliposhonwa konyo kabisa hawa
Siku ukinunua asipotokea nishtue nije kula....mi napenda mazagaHahahhaha nanunua pizza kapiyoca na tikeno muskino tacos ๐ mixa ma tequilla
Kama utakamilisha na ratiba zingine haina shakaSiku ukinunua asipotokea nishtue nije kula....mi napenda mazaga
PumbavuHabar mabibi na mababu....
Leo siku yangu imeenda vibaya sana, na vile sijawahi experience hili tukio bhasi daah naona dunia imenikalia vbaya leo.
Kufupisha stori ni kuwa kuna manzi angu mmoja tulishawahi kugegedana sana tu sasa toka majuzi nkamcheki kuwa bhana nko mjini nitunuku ulichobarikiwa bas bila hiyana akakubali na kunambia tukutane jumapili, na toka hyo majuzi bhas n mameseji ya kutiana genye tu mpka najikuta kichupa kinanitekenya tekenya tu, mara video call akinionyesha sehem za mvuto za mwili wake nikajikuta nina uchu balaa km simba kaona swala mbugani.
Sasa jpili ndio leo ikafika, bhas nkadamka asbuh subuh nkajipigisha deki room zangu mbili na sebule, nkapuliziaa ma udi, pefyumu, nkaenda supermarket nkajaza friza mazagazaga kam yote ma apples, azam juice, maziwa mtindi, redbul, malta, matunda km yoote, tandika shuka mpya, nkavaa nguo mpya yan adi boksa mpya nlonunua jana, nkaweka ad Playlist ya blues kwny laptop yangu, nkajikoki sasa piga pweza, pga energy drink, piga njugu, yan moyoni nkawa najisemea huyu mtoto leo atafuraahi na show na huyu leo harudi kwao mpk kesho mana nlshanunua ad kuku choma mida ya mchana.
Daah kadiri muda unavozidi kwenda toka asbh n kunambia tu nakuja yan mpka namwambia ww njoo na usafir wowote ata km n bombadia ntalipa ilimradi ufike kwangu, mara asemee ooh cjui ntakupaa yootee leo yani nkajikuta kla dkk mshedede unasimama, mpk sa tsa mtu hatokei daah nkajikuta napiga cm km chizi haipokelewi wala meseji hazijibiwi yan ktk maisha yang cjawah mpigia mtu cm mara nyingi km kwa huyu manzi nlpiga cm mara 100.
Ikafika saa kumi akanambia ntakuja subiri kun sehem nmetumwa, bhas cm akawa hapokei kabisa amekuja jibu mesej sa kum na mbil et hawez kuja mana kaambiwa apike chakula cha usku, daaah bhas nkajikuta moyo unaniuma ile mbaya nkasem huyu keshaniingiza cha kike, yani akanifanya nawawaza madem zangu wengne bhas aje mwingine nipunguze kichupa, lkn mbaya zaidi hao madem wengine kla mtu ambiwa yuko bleed leo,,, bhas nkajikuta nina hasira balaaaa leo yan mtu anaweza nisalimu tu najikuta namfokea, siku yangu imeisha vibaya sn yan nawaza nimejizimua vyote hv ili nkale nyetoo tuu daaaah inaumaa sana, leo nimeamin genye n mbaya sana hasa ukitamanishwa.
Kwahyo ndio hvo namla kuku hapa na juisi bariidi nishibee ili nkajichukulie sheria mkononi sina namna.
Ww ulifanyaj ulivyokosa papuchi siku ya miadi??!