Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Ila kama mnajichoresha flan hivi vijana..kwa n msikae kwa kutulia na ramadhan hii plus kwaresma muombe toba!?Usijali mkuu hapa ni chitchat lolote wasemalo ni sawa ila isiwe tusi[emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kama mnajichoresha flan hivi vijana..kwa n msikae kwa kutulia na ramadhan hii plus kwaresma muombe toba!?Usijali mkuu hapa ni chitchat lolote wasemalo ni sawa ila isiwe tusi[emoji1]
Wapi nimeandika Glenn ni chawa..?😀YaYaani Kenzy unaniita chawa kabisa kabisa mkuu?
[emoji23][emoji23]
Ndio.Naona unajitahid kuyafanya maisha mepesi licha ya ugumu wake 😁Oooh umetabasamu kweli!
Mkuu kuna nyakati za kuwa siriaz, na kuna nyakati za kujiachia.Ndio.Naona unajitahid kuyafanya maisha mepesi licha ya ugumu wake [emoji16]
Kwani unabii wako umekuonyesha tunafanya dhambi mkuu?Ila kama mnajichoresha flan hivi vijana..kwa n msikae kwa kutulia na ramadhan hii plus kwaresma muombe toba!?
Mbona ume panic mkuu😂😂😂Kwani unabii wako umekuonyesha tunafanya dhambi mkuu?
Au umehisi tunagusana?
Naomba usome tena unaweza kuelewa.
Andiko hili usiposoma vizuri utatoka na maana tofauti na kusudi mkuu.
Sasa dont u see kama una wa mock watu na akil zao..?Mkuu kuna nyakati za kuwa siriaz, na kuna nyakati za kujiachia.
Katikati ya ujinga huwa ni fursa yangu muhimu kujifunza vitu vipya kwa watu.
Huwa nafurahi ikiwa mimi natania au kusema jambo kwa mzaha then kuna mtu anabeba rungu kuua mbu[emoji16][emoji16]
Mwingine anakuja na jazba na kujaribu kuonyesha hekima zake katikati ua upuuzi na mzaha
Basi nacheeeka[emoji28][emoji28][emoji28]
Tz nchi nzuri na rahisi sana kuishi sana
Bas sawa.Twende kaziNo noo mkuu niko imara na sina la kunikwaza kabisa[emoji28]
Kaka wewe mnaa sana[emoji38]
Nko poa shemeji..Pasaka nakukaribisha home uje na wifi yangu
Sema themeji[emoji16]
[emoji1787] we si umeanza mie nimemalizaAhsante sana dada yangu
Udogonaochangamoto[emoji16]