Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 894
igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!Kinachofurahisha na kutia moyo zaidi hadi wengine kuyapenda maisha ni kujua kuwa manjonjo yote hayo ni kwaajili yangu kwa kiasi kikubwa ...... lol!
Acha niyapende maisha, Mungu nipe kuishi kwingi nipate vingi vinono!
Cc: snowhite
igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
af mekumiss ujue bathi tu nakula kobis!
Senki yu vere much(In makindas voice)
Uwage unanisifia basi baba watoto..........
Jamani wii nilikuwa natania tu..........
my wii @hevaen on earth si unajua swala zima la ulinzi shirikishi usijemsababishia kaka yangu stress bure
cc figganigga
Kaka mtambuzi mbona niliitika, mimi urembo woooote nafanya kasoro kutinda nyusi siwezi eti, hata kubandika kope sijawahi kwa hivyo vitu namshukru mungu kwa uumbaji wake. kitu kinachoniumizaga kichwa sana kuliko vyote ni nywele, napenda sana nywele, japo kuna wakati huwa nanyoa nabaki nanywele fupiUkiwaona mwaJ, BADILI TABIA, MadameX, KOKUTONA, Arabela, Preta, marejesho, miss wa kinyaru, gfsonwin, cacico waambie nawaita hapa........
kwani hata shift maofisini si kuna reshafo?Yaani hizi shift tulizojiwekea sasa zinatutesa!
Mi hata kula sili saiv jamani...
Hebu tuyamalize haya!
kwani hata shift maofisini si kuna reshafo?
kha!