fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
ok sasa huu ni muda mzuri kuzifanyia tathmini hizo biashara,je kuna mkwamo wowote?Unawaza nini mpaka huna usingizi?
Usingizi umekata vuup....
Nipo nawaza biashara zangu.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
usiogope madeni,ni kujifunza mbinu za majadiliano na wanaokudaiChezea madeni
oh mwambie binti ugomvi sio mzuriHuko nyumbani nimepigiwa simu Binti yangu anapigana na mke wangu (mama yake) usingizi umeniruka kabisa na leo JF hakuna post za maana.π₯΄
Pole sanaHuko nyumbani nimepigiwa simu Binti yangu anapigana na mke wangu (mama yake) usingizi umeniruka kabisa na leo JF hakuna post za maana.π₯΄
sawamimi pia nipo macho twende pamoja tumalize night shift hii
Wanawake wasivyo pendana haijalishi wadhifa wao mama na mwana.Huko nyumbani nimepigiwa simu Binti yangu anapigana na mke wangu (mama yake) usingizi umeniruka kabisa na leo JF hakuna post za maana.π₯΄
sawaIngia kwenye uzi wenu huo wa mapopo huwa wapo tu waku-chat nao bila kuombaππππ
mawazo yepi rafikiNimesign in nipunguze mawazo....
Ya maisha mkuumawazo yepi rafiki
oh pole,usiogope pambana nayo na fajanu kila mtu ana changamoto zakeYa maisha mkuu
nasoma mambo ya duniakwa nn hulal