Leo nmekula sahan mbili za wali maharage samak na kisamvu

Leo nmekula sahan mbili za wali maharage samak na kisamvu

Msosi kama huu???,mwanaume kula buana
tapatalk_jpeg_1526483686772.jpg
 
Mama,...vile vyakula skuhiz adimu,so ukikibahatisha unapiga,.

Skuhiz mkija kwetu mnapika spaghet na sausage au beef,au mnakaanga machips na makuku,.mi catch up inamiminwa mtoto wa kike anajua hapo ndo atanifurahisha,kumbe mi najifanya kumwitikia na kumsifia kua dah msos mtam kumbe rohon naona kaniharibia njaa yangu tuu.hovyo kabsa

Kitu real food,upate hapo ugal,mchicha kidogo,maharage ni must to me,.bamia bamia niiin..samak kibua kakaangwa vzur na pilipil ya kipemba/achali...au ubwabwa wa nazi saaafi,kachumbar kwa mbal,aseeeee,hapo mtu kama mim lazma nijae
anajua kama unapenda ugali au unataka a-assume??
 
Wakuu,mnajua ubachela ni mzigo,..kuna baadh ya vyakula sili tena et,..na ikitokea nikavibabatiza mahal hua nachanganyikiwa kabsaaaaa

Leo kuna kona moja hiv mitaa ya diamond jubilee jamaa yangu alinambia pana msos mzur,.si pasaf sana kwakwel,..ila kiukwel sjawai kula chakula kama kile,kiukweli...misos kama ile nkiendaga nyumban ndio mama yangu hua anapika napata ile taste,.

Ila sio dem /madem/mchepuko wangu ama mwanamke yoyote aliwai pika nkala msos ka ule,..kiukwel yule mama anaepika pale leo kanifanya nione kua kuna umuhimu wa kwakwel kuchagua mwenza wa ndoa ambae yuko vzur jikon,

Nmekula had watu wakawa wananiangalia mara mbil mbil.maana baada ya sahan ya kwanza,nkamaliza nkaagiza nyingne

Vyakula vya kiofis ofis havina ladha,halaf unawai shiba mapema sjui kwanin.
Jaman mim napenda sana maharage,samak,kisamvu na ubwabwa.daaah,..aww na mchuziiii

Samahanin kwa uzi wa kijinga,ila nmeona nishee furaha yangu na wakuu



!
!
Kaka Epuka Kulala Na Wenzio Leo, Au Mnduku Wako Uelekezee Dirishani
 
Wakuu,mnajua ubachela ni mzigo,..kuna baadh ya vyakula sili tena et,..na ikitokea nikavibabatiza mahal hua nachanganyikiwa kabsaaaaa

Leo kuna kona moja hiv mitaa ya diamond jubilee jamaa yangu alinambia pana msos mzur,.si pasaf sana kwakwel,..ila kiukwel sjawai kula chakula kama kile,kiukweli...misos kama ile nkiendaga nyumban ndio mama yangu hua anapika napata ile taste,.

Ila sio dem /madem/mchepuko wangu ama mwanamke yoyote aliwai pika nkala msos ka ule,..kiukwel yule mama anaepika pale leo kanifanya nione kua kuna umuhimu wa kwakwel kuchagua mwenza wa ndoa ambae yuko vzur jikon,

Nmekula had watu wakawa wananiangalia mara mbil mbil.maana baada ya sahan ya kwanza,nkamaliza nkaagiza nyingne

Vyakula vya kiofis ofis havina ladha,halaf unawai shiba mapema sjui kwanin.
Jaman mim napenda sana maharage,samak,kisamvu na ubwabwa.daaah,..aww na mchuziiii

Samahanin kwa uzi wa kijinga,ila nmeona nishee furaha yangu na wakuu



Naomba nielekeze namimi nipite maana ninauguza mgonjwa muhimbili nipe location ya hiyo corner nikapate lunch one day [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Sahani mbili tu ndo unafungua thread?njoo huku udzungwa watu tunafuta vijisinia deile. Japo kwa dar mkuu ni halali kwenu, ila huku hizo sahani ni za under17
Hqhahah,nmecheka sana mkuu
 
Sasa kama wanawake zako wanatumia nazi ya azam kuungia maharage na kisamvu utapata wapi taste ya chakula? Usione wenzio wanapenda wanawake wa Tanga ukawaona maboya wanajua shughuli yetu jikoni
 
Naomba nielekeze namimi nipite maana ninauguza mgonjwa muhimbili nipe location ya hiyo corner nikapate lunch one day [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Pale had nipite tena ndo ntapaweka vzur,manake ni mbele ya diamond ukumbi kuna tuta nadhan unavuka half upande wa kulia unaingia hiv,pamekaa hovyo hovyo flan ila ,nilikuta madereva weng wa taxii hapo,..yaan mi mwenyew ndo nmepitishwa leo mkuu,aiseee wacha kabsaaa.ni balaaa..
 
Kula sana sio afya wala sio eti ndio uanaume,unatakiwa ule balanced diet,kama vile,mboga,nyama,matunda,
maziwa,
juice na vinginevyo,tena visiwe vyakula frozen bali viwe fresh,

Kufakamia tu eti sijui misahani ya wali na maharage juu yake ni kujaza tumbo tu!
 
Back
Top Bottom