Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ndumu zenyewe sijazionaaa.
Je njumu za kosovo umeziona?Jezi ziko wapi wewe topolo?
Chanzo cha hii habari?Eng Hersi Said akili nyingi
Amewahadaa mbumbumbu kaweka attention ili suala la jezi liende.
Kesi iliyoamuriwa mwaka 2022 iwe Leo ndo ihitaji maamizi.
Mbumbumbu wamegoma kustuka wapo usingizini
Kwa akili hizi wanahabari watajaa, macho ya watu yote watashuhudia uzinduzi wa jezi mpya za msimu Kwa kiki hii ndogo.
Hata makolo Leo mtaishuhudia jezi ya Yanga taka mistake😅
Yaani mnashindwa kujiongeza Yanga mwanachama wa TFF, CAF na FIFA mambo yake ya madaraka yayumbishwe na mahakama za kiraia😆
Eng Hersi Said ni mtu wa maana hasa Ana akili nyingi 😅 ona Sasa jezi yetu mpya imeenda mjini kimasihara hivi.
Asante Kwa promotion kubwa wameifanyia Uzi wetu Leo watajaZa makamera Yao pale jangwani ati wanatenda kushuhudia kung'atuka Kwa Eng Hersi Said kumbe watatangaza Uzi wetu hadi kwenye page za makolo.
Yanga ni kubwa mno
Nipo dear na mie Nimefurahi kukuona 😊😊Nimefurahi kukuona☺️
Mkuu bado tunasubiri uzinduzi wa jezi tangu jana. Au tuondoke kwanza? 🤣🤣🤣Eng Hersi Said akili nyingi. Amewahadaa kaweka attention ili suala la jezi liende. Kwa akili hizi wanahabari watajaa, macho ya watu yote watashuhudia uzinduzi wa jezi mpya za msimu Kwa kiki hii ndogo. Hata makolo Leo mtaishuhudia jezi ya Yanga taka mistake😅
huu uzi ulishatambulishwa??Subiria saa 8
Uzi utambulishwe na wewe utashudia Kwa laZima😅😄😆
Wapi jezi ndugu, mbona siri imekuwa kubwa?Eng Hersi Said akili nyingi
Amewahadaa mbumbumbu kaweka attention ili suala la jezi liende.
Kesi iliyoamuriwa mwaka 2022 iwe Leo ndo ihitaji maamizi.
Mbumbumbu wamegoma kustuka wapo usingizini
Kwa akili hizi wanahabari watajaa, macho ya watu yote watashuhudia uzinduzi wa jezi mpya za msimu Kwa kiki hii ndogo.
Hata makolo Leo mtaishuhudia jezi ya Yanga taka mistake😅
Yaani mnashindwa kujiongeza Yanga mwanachama wa TFF, CAF na FIFA mambo yake ya madaraka yayumbishwe na mahakama za kiraia😆
Eng Hersi Said ni mtu wa maana hasa Ana akili nyingi 😅 ona Sasa jezi yetu mpya imeenda mjini kimasihara hivi.
Asante Kwa promotion kubwa wameifanyia Uzi wetu Leo watajaZa makamera Yao pale jangwani ati wanatenda kushuhudia kung'atuka Kwa Eng Hersi Said kumbe watatangaza Uzi wetu hadi kwenye page za makolo.
Yanga ni kubwa mno
Ile jezi ya njano ndio huua makolo khamsa ishirini nimefanya utafiti mdogo nikaona hilo, au unasemaje?Dooh hivi kumbe suala la jezi nalo ni kitu cha kuwachekea wapinzani, au uzinduzi wa jezi ndio unadetermine ushindi wa makombe, hatari sana