Leo saa 8, Yanga ataambulisha jezi mpya za msimu 2024-2025,

Leo saa 8, Yanga ataambulisha jezi mpya za msimu 2024-2025,

Wallahi hersi akikutangazia akuone Wala hujiulizi hata mara ya pili, unsmkubalia mara moja dadeki.
 
Mleta mada usidhani tumesahau. Hayo matambala uliyosema mtayatoa leo yako wapi?
 
Eng Hersi Said akili nyingi

Amewahadaa mbumbumbu kaweka attention ili suala la jezi liende.

Kesi iliyoamuriwa mwaka 2022 iwe Leo ndo ihitaji maamizi.

Mbumbumbu wamegoma kustuka wapo usingizini

Kwa akili hizi wanahabari watajaa, macho ya watu yote watashuhudia uzinduzi wa jezi mpya za msimu Kwa kiki hii ndogo.
Hata makolo Leo mtaishuhudia jezi ya Yanga taka mistake😅

Yaani mnashindwa kujiongeza Yanga mwanachama wa TFF, CAF na FIFA mambo yake ya madaraka yayumbishwe na mahakama za kiraia😆
Eng Hersi Said ni mtu wa maana hasa Ana akili nyingi 😅 ona Sasa jezi yetu mpya imeenda mjini kimasihara hivi.

Asante Kwa promotion kubwa wameifanyia Uzi wetu Leo watajaZa makamera Yao pale jangwani ati wanatenda kushuhudia kung'atuka Kwa Eng Hersi Said kumbe watatangaza Uzi wetu hadi kwenye page za makolo.

Yanga ni kubwa mno
Chanzo cha hii habari?
 
Kule UTOPOLONI wenye akili ni kikwete na fundi, mtaalam Sunday manara KOMPYUTA.
 
Kama kweli ni hivyo basi yanga bado ni timu isiyo na ushawishi yaani mambo hayaendi bila Kiki ? We uliwahi kuona Realmadrid anafanya Kiki kabla ya kutambulisha jezi?
 
Eng Hersi Said akili nyingi. Amewahadaa kaweka attention ili suala la jezi liende. Kwa akili hizi wanahabari watajaa, macho ya watu yote watashuhudia uzinduzi wa jezi mpya za msimu Kwa kiki hii ndogo. Hata makolo Leo mtaishuhudia jezi ya Yanga taka mistake😅
Mkuu bado tunasubiri uzinduzi wa jezi tangu jana. Au tuondoke kwanza? 🤣🤣🤣
 
Eng Hersi Said akili nyingi

Amewahadaa mbumbumbu kaweka attention ili suala la jezi liende.

Kesi iliyoamuriwa mwaka 2022 iwe Leo ndo ihitaji maamizi.

Mbumbumbu wamegoma kustuka wapo usingizini

Kwa akili hizi wanahabari watajaa, macho ya watu yote watashuhudia uzinduzi wa jezi mpya za msimu Kwa kiki hii ndogo.
Hata makolo Leo mtaishuhudia jezi ya Yanga taka mistake😅

Yaani mnashindwa kujiongeza Yanga mwanachama wa TFF, CAF na FIFA mambo yake ya madaraka yayumbishwe na mahakama za kiraia😆
Eng Hersi Said ni mtu wa maana hasa Ana akili nyingi 😅 ona Sasa jezi yetu mpya imeenda mjini kimasihara hivi.

Asante Kwa promotion kubwa wameifanyia Uzi wetu Leo watajaZa makamera Yao pale jangwani ati wanatenda kushuhudia kung'atuka Kwa Eng Hersi Said kumbe watatangaza Uzi wetu hadi kwenye page za makolo.

Yanga ni kubwa mno
Wapi jezi ndugu, mbona siri imekuwa kubwa?
 
Dooh hivi kumbe suala la jezi nalo ni kitu cha kuwachekea wapinzani, au uzinduzi wa jezi ndio unadetermine ushindi wa makombe, hatari sana
Ile jezi ya njano ndio huua makolo khamsa ishirini nimefanya utafiti mdogo nikaona hilo, au unasemaje?
 
Back
Top Bottom