Hata siku Msuva akiyafikia mafanikio ya Samatta utakuja kuandika hivi hivi. Serious Samatta hachezagi vizuri timu ya Taifa?Lini Samatta alicheza vizuri timu ya taifa?
Saimon Msuva anatubeba sana, hakati tamaa, anapambana sana.
Samatta akija huku anacheza kifaza sana
Tiririka hapa, lini alicheza vizuri?Hata siku Msuva akiyafikia mafanikio ya Samatta utakuja kuandika hivi hivi. Serious Samatta hachezagi vizuri timu ya Taifa?
Unamzungumzia Sanga mchezaji wa Nazareth ya Njombe??Hivi sanga amecheza Leo??
leo kacheza kama rashfordLeo imekua mechi mbaya kabsa kwa Mbwana. Kila alichojaribu kufanya kiligoma. Sio kwamba alikabwa sn na opponents. Mara nyingi alikua anapoteza mpira peke kabsa. Sjui wengine mlivyomtazama.
Hiki ni nini sasaYani 0performance
Kwahiyo unasuggest nini mkuu atemwe timu ya taifa au? mimi Samatta namjua ni mchezaji mzuri ila sitegemei afunge kila mechi au apige chenga uwanja mzima siku zinatofautiana ila anabaki kuwa mtu muhimu taifa stars... lakini mashabiki wa soccer lawama ni kawaida yao Mfano Asamoah Gyan wema wake ulisahaulika kwa siku moja baada ya kukosa penat na Messi pia baada ya kukosa penat fainali akaonekana si chochote hadi akaamua kustaafu... Mashabiki wa mpira hawaridhiki kwenye mafanikio mtafurahi wote ila kwenye failure wao ndo wanakunyooshea vidoleTiririka hapa, lini alicheza vizuri?
Mfumo wa Taifa stars na Genk ni tofaut kabisa ndiyo maana ule ubora wa Genk sio kama wa huku
na Messi pia baada ya kukosa penat fainali akaonekana si chochote hadi akaamua kustaafu