Leo sijalala sababu ya kipaza sauti cha msikiti

Leo sijalala sababu ya kipaza sauti cha msikiti

TikTok2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2022
Posts
1,816
Reaction score
3,150
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na Waislam kwenye vipaza sauti vyao

Usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani Misikitini basi mpaka Saa 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika saa 10 wakarudi tena mpaka sasa

Zamani nilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na waislam kwenye vipaza sauti vyao, usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani misikitini basi mpaka SA 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika sa10 wakarudi tena mpaka sasa.

Zamani jilidhani adhana ni ya kuitana tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa.
 
Kuna walokole pia wansokesha wakisali na kuimba kwa kelele nyingi.. Yani sasa hivi ukipata pa kuishi ambapo sio karibu na hizi nyumba za ibada uta enjoy sana...
Hawajali kuhusu privacy za wengine
Hawajali kuhusu mapumziko ya wengine
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na waislam kwenye vipaza sauti vyao,usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani misikitini basi mpaka SA 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika sa10 wakarudi tena mpaka sasa,zamani jilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Katika msisha yangu ya ugalatia sijawshi kuona mbaguzi wa kidini kama wewe
 
Uchafuzi wa hali ya hewa kwa mgongo wa dini bado ni tatizo sana Tanzania. Hua najiuliza hizi misikiti haiwezi kuishi bila vipaza sauti? Hivi hata huko ulaya ni mavipaza sauti tu?

Nadhani ifike mahala watu wafundishwe panctuality, nina boss wangu ni muislamu, jamaa nadhani hahitaji kipaza sauti, yuko so panctual, muda ukikaribia tu jamaa ataomba radhi ya udhulu na kuondoka, swala zote.

Sasa watu wote wakiwa hivyo hizi kelele hazitakuwepo. Hata makanisa yatumie sound proof. Kuna kanisa niko nalo hapa jirani, siku ya jumapili ni balaa tupu.

Hivi vitu vile regulated.
 
Not correct wao kuwa na maombi yao kwa sauti si vibaya wanazingatia uhuru wa kuabudu na kutangaza dini yao ama wewe unae wasema wanaibada wenye kukesha kuabudu mola wao (bila kujaji Mungu wa nani ndio sahihi) basi ni kutokana na chuki zako juu ya dini na kuto penda kuabudu na umeridhika kuona akili yako ni sufficient
 
Adhana ndio muhimu na haichukui dakika nyingi, hayo mambo mengine kuwasha spika msikitini kuendeleza harakati nyingine mpaka mida ya watu kupumzika bila sababu za msingi wakati ingewezekana kufanya hata kimya kimya haikubaliki.
 
Kwa wakristo yesu alisema wasali kimya kimya baba aliyesirini anawasikia sasa huu utaratibu wa kelele sjui ulitoka kwa nani..! wakat mtoa muongozo alishasema ukitaka kusal tafuta faragha.
 
Pole sana mleta mada, toa taarifa serikali za mitaa.

Ushauri..ukitaka kutafuta mahali pa kuishi hakikisha upo mbali na maeneo ya misikiti..kanisa ya kilokole..bar&pub..stendi..viwanda.

#MaendeleoHayanaChama
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na waislam kwenye vipaza sauti vyao,usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani misikitini basi mpaka SA 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika sa10 wakarudi tena mpaka sasa,zamani jilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Jifunze kuwavumilia wengine, ukishindwa kuvumilia vitu vidogo kama hivi usitalajie kuishi na mke ambaye anaweza kukuchokoza makusudi tu ili aone reaction yako.
 
Hiyo chrislamu ni nini?Na kuchomoa betri unamaanisha nini?
Kuchoma betri kauai imani ya ukristo iliyodumu MIAKA mingi mfano ana nukuliwa akisema jesus is Satan,halafu akiufagilia uislamu KWA Sana, chrislam ni Dini mpya ya NEW WORLD ORDER Inayohubiriwa na Huyo Mzee!

Ndio Binadamu anaechukiwa Sana na jamii ya WAKRISTO duniani KWA Sasa Papa fransis
 
Back
Top Bottom