Leo sijalala sababu ya kipaza sauti cha msikiti

Leo sijalala sababu ya kipaza sauti cha msikiti

ivi kushuoaliaga ilo neno la dini ya haki iyo haki ni ipi wanayomaanisha hawa wavaa kobazi mim bado sijaifaham kwakel
Dini ya haki hamuijui?
Kuna mnigeria Tena ALHAJ mtu mwenye pesa nyingi. Ameoa mtoto wa miaka 11.
Eti wanapendana.!!!!!!!
Wenye dini ya haki wanamshangilia
 
Acha ujinga wewe, kila siku RC anajidhihirisha kuwa ni shetani kabisa aliyejificha kupitia hiyo dini.

Miaka ya 2020 Papa alidai kuwa "BIBLIA imepitwa na wakati inabidi ibadilishwe baadhi ya vifungu ili iendane na dunia ya sasa"

MASWALI:

1. Je Mungu ni mwongo hadi Papa akaidi agizo lake Mungu[emoji848][emoji116]

MATHAYO 24:35.
YOHANA 17:17.

2. Papa ana ukuu upi mbele za BWANA hadi apunguze na kuongeza (editing) neno lake Mungu [emoji848][emoji116]

UFUNUO WA YOHANA 22:18-19.

3. Yesu hakubadili NENO LA MUNGU "BIBLIA", Papa ni nani haswa kwa BWANA hadi atengue BIBLIA[emoji848][emoji116]

MATHAYO 5:17.

4. MUNGU habadiliki kamwe, Papa anamshuhudia vipi Mungu kuwa ni Kigeugeu [emoji848][emoji116]

WAEBRANIA 13:8.
MALAKI 3:6.

5. Wapi ktk BIBLIA Mungu kaagiza Papa aje kubadili hivyo vifungu vya BIBLIA?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Unaweza kunipa evidence ya Papa kuikana biblia nikawafindishe wapendwa kwenye lesson?
 
Mara nyingi hivi vipaza sauti huanza kuanzia saa 10 alfajiri mpaka saa 12 asubuhi... huu muda ndio muda pia watu wengi huamka luanza mikikimikiki ya siku... KWANGU SIONI TATIZO LOLOTE.

tutakuwa wanafiki kwakulalamikia vipaza sauti vya misikitini na kuacha makelele ya bar, na clubs zinazokesha mitaani na vigodoro mitaani vinavyoharibu watoto na kupiga makelele usiku wote..
 
Back
Top Bottom