TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Katika msisha yangu ya ugalatia sijawshi kuona mbaguzi wa kidini kama weweNaandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na waislam kwenye vipaza sauti vyao,usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani misikitini basi mpaka SA 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika sa10 wakarudi tena mpaka sasa,zamani jilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Bila shaka inawezekana. Hata wakristo bila kengele inawezekana pia.Hua najiuliza hizi misikiti haiwezi kuishi bila vipaza sauti?
Hiyo chrislamu ni nini?Na kuchomoa betri unamaanisha nini?Papa fransis kachomoa betri anakuja na kitu "chrislam" mtamuunga mkono!!?
Afafanue mkuu.Hiyo chrislamu ni nini?Na kuchomoa betri unamaanisha nini?
Katika msisha yangu ya ugalatia sijawshi kuona mbaguzi wa kidini kama wewe
Jifunze kuwavumilia wengine, ukishindwa kuvumilia vitu vidogo kama hivi usitalajie kuishi na mke ambaye anaweza kukuchokoza makusudi tu ili aone reaction yako.Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na waislam kwenye vipaza sauti vyao,usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani misikitini basi mpaka SA 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika sa10 wakarudi tena mpaka sasa,zamani jilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Kuchoma betri kauai imani ya ukristo iliyodumu MIAKA mingi mfano ana nukuliwa akisema jesus is Satan,halafu akiufagilia uislamu KWA Sana, chrislam ni Dini mpya ya NEW WORLD ORDER Inayohubiriwa na Huyo Mzee!Hiyo chrislamu ni nini?Na kuchomoa betri unamaanisha nini?