C Chige JF-Expert Member Joined Dec 20, 2008 Posts 13,495 Reaction score 29,872 Jan 26, 2022 #41 Nasikia hivi sasa ni Dakika ya 47 ngoma bila bila... Kumbe Kaitaba wameweka taa!!!
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Jan 27, 2022 #42 Hziyech22 said: Wanasimba wote msiwe na wasiwasi leo huyu kagera sugar hasira zetu zote tunaenda kummalizia yeye, kosa lao Uwanja wao kuwa mzuri ndio kitachowacost Click to expand... Lete tokeo njomba.
Hziyech22 said: Wanasimba wote msiwe na wasiwasi leo huyu kagera sugar hasira zetu zote tunaenda kummalizia yeye, kosa lao Uwanja wao kuwa mzuri ndio kitachowacost Click to expand... Lete tokeo njomba.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Jan 27, 2022 #43 NAWATAFUNA said: Nuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu. nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu. Simba nguvu moja. Click to expand... Ha haaaa Mikia FC bana.
NAWATAFUNA said: Nuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu. nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu. Simba nguvu moja. Click to expand... Ha haaaa Mikia FC bana.
Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,168 Reaction score 39,118 Jan 27, 2022 #44 NAWATAFUNA said: Nuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu. nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu. Simba nguvu moja. Click to expand... Za tangu Jana Mkuu?
NAWATAFUNA said: Nuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu. nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu. Simba nguvu moja. Click to expand... Za tangu Jana Mkuu?
mito JF-Expert Member Joined Jun 20, 2011 Posts 10,682 Reaction score 10,801 Jan 27, 2022 #45 Hziyech22 said: Wanasimba wote msiwe na wasiwasi leo huyu kagera sugar hasira zetu zote tunaenda kummalizia yeye, kosa lao Uwanja wao kuwa mzuri ndio kitachowacost Click to expand... Teh
Hziyech22 said: Wanasimba wote msiwe na wasiwasi leo huyu kagera sugar hasira zetu zote tunaenda kummalizia yeye, kosa lao Uwanja wao kuwa mzuri ndio kitachowacost Click to expand... Teh
Analyse JF-Expert Member Joined Jan 19, 2014 Posts 17,637 Reaction score 47,413 Jan 29, 2022 #46 [emoji94].... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24 Anarudi anakuta Simba ina point 25 Anajiuliza Ligi ilisimama au???!![emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji94].... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24 Anarudi anakuta Simba ina point 25 Anajiuliza Ligi ilisimama au???!![emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]