Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete tokeo njomba.Wanasimba wote msiwe na wasiwasi leo huyu kagera sugar hasira zetu zote tunaenda kummalizia yeye, kosa lao Uwanja wao kuwa mzuri ndio kitachowacost
Ha haaaa Mikia FC bana.Nuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu.
nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu.
Simba nguvu moja.
Za tangu Jana Mkuu?Nuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu.
nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu.
Simba nguvu moja.
TehWanasimba wote msiwe na wasiwasi leo huyu kagera sugar hasira zetu zote tunaenda kummalizia yeye, kosa lao Uwanja wao kuwa mzuri ndio kitachowacost