mrumbegenerarion
New Member
- Aug 26, 2017
- 1
- 1
Kwa mpira mliocheza na kiwango kizuri mlichoonesha, m nastahili pongezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukuwa na sababu ya kuanzishs uzi ungeenda kwenye uzi maalumu wa simba halafu hii ingekuwa comment tu.Kwa mpira mliocheza na kiwango kizuri mlichoonesha, m nastahili pongezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walitumwa wapi?Mnajisifu kuifunga Ruvu Shooting ambayo haikuwa na wachezaji 7 wa kikosi cha kwanza?
Delle Alli
Ligi ndo imeanza iwe na wachezaji kamili au vipMnajisifu kuifunga Ruvu Shooting ambayo haikuwa na wachezaji 7 wa kikosi cha kwanza?
Delle Alli
7G
Mnajisifu kuifunga Ruvu Shooting ambayo haikuwa na wachezaji 7 wa kikosi cha kwanza?
Delle Alli
Wachezaji tisa wako Rwanda michuano ya majeshi
Timu inasajili zaidi ya wachezaji 20.Mnajisifu kuifunga Ruvu Shooting ambayo haikuwa na wachezaji 7 wa kikosi cha kwanza?
Delle Alli
Azam ipo siku zote mkuu.Timu za majeshi zifutwe VPL..mechi ijayo mnacheza na Azam FC