Leo sio tu siku ya Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA. Leo ni siku ya kuamua mustakabali wa miaka 100 ijayo ya Tanzania

Leo sio tu siku ya Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA. Leo ni siku ya kuamua mustakabali wa miaka 100 ijayo ya Tanzania

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Sidhani kama Wajumbe wa CHADEMA wanalifahamu hili?

Tanzania ilipofikia sasa, hasa kutokana na changamoto za rushwa na uongozi mbaya unaogharimu maisha ya wananchi masikini kila kukicha, ni jambo moja tu linaloweza kutubadilishia hali hii na kuhakikisha uwepo wa Tanzania imara yenye maendeleo ya uhakika kwa miaka 100 inayokuja. Jambo hili ni KATIBA MPYA ILIYO BORA INAYOJENGA NA KUTENGENEZA MIFUMO IMARA KULISIMAMIA TAIFA NA WANASIASA ( VIONGOZI).

CCM ambacho ndo chama kilichoiongoza nchi hii tangu uhuru wanajua fika kuwa mzizi mkuu wa mamlaka yao na kuendelea kuitawala Tanzania hii hadi watakapochoka ni KATIBA HII TULIYONAYO SASA INAYOMFANYA MWENYEKITI WAO AMBAYE NI RAIS kuwa mungu mdogo.

Kuanzia mwaka kesho inawezekana nchi ikaanzisha mchakato wa Katiba Mpya kama alivyoahidi Samia.

Hatari iliyopo mbele ya Taifa hili ni kuwa, endapo hakutakuwa na upinzani imara unaojua kesho yetu inapaswa kuwaje? Kuna uwezekano CCM wakatuletea kituko cha karne kwenye hilo suala la Katiba Mpya.

Wanaoitakia mema Tanzania, kwa sasa wanaomba nchi ipate upinzani madhubuti ambao hautayumbishwa kusimamia na kuhakikisha nchi yetu inapata katiba imara sana inayojenga mifumo imara sana na kuondoa u mungu kwa wanasiasa.

Chama pekee cha upinzani ambacho kinaonekana kuwa na watu wasio compromise kwenye hili ni CHADEMA.

Kwa sasa CCM wameweza kupenyeza pesa chafu ili kuwarubuni baadhi ya viongozi wa CHADEMA hasa upande unaomtetea na kumuunga mkono Mwenyekiti Mbowe ili mradi isitokee nchi ikapata upinzani imara utakaosababisha tupate KATIBA IMARA NA BORA itakayotishia uhai wao na ufalme wao nchini Tanzania.

Rai yangu kwa wajumbe wa CHADEMA. Leo mna nafasi ya kuandika historia mpya ya Tanzania kwa miaka zaidi ya 100 ijayo.

Kama mmepewa pesa chafu na CCM zileni ila kwenye kuchagua kamchagueni TUNDU ANTIPASS LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama chenu.

Kamchagueni JOHN HECHE kuwa Makamu Mwenyekiti.

Na mwisho leo kuweni wakali sana ikiwezekana kura zisimamiwe vizuri kuepusha ufedhuli wa CCM na watu wake.

Kwa vyombo vya dola. Inawezekana CCM wamepanga kuwatumia leo ili mfanikishe azma yao.

Rai yangu kwenu, litazameni Taifa hili kwa miaka 100 ijayo ambayo itakuwa na vizazi vyenu. Ni wakati wenu sasa kuhakikisha mnaacha kutekeleza maagizo mabaya ambayo yanaweza kulipeleka Taifa hili na vizazi vyake mahali pabaya sana.

Lord Denning
Pataya, Thailand
 
Wajumbe mkimchagua Mbowe mtu aliyeungana na watesi wetu CCM mjue damu za watu hawa zitawalilia siku zote za maisha yenu.
 

Attachments

  • FB_IMG_1737358302587.jpg
    FB_IMG_1737358302587.jpg
    43.6 KB · Views: 1
  • IMG_5035.jpeg
    IMG_5035.jpeg
    84.4 KB · Views: 1
Sidhani kama Wajumbe wa CHADEMA wanalifahamu hili?

Tanzania ilipofikia sasa, hasa kutokana na changamoto za rushwa na uongozi mbaya unaogharimu maisha ya wananchi masikini kila kukicha, ni jambo moja tu linaloweza kutubadilishia hali hii na kuhakikisha uwepo wa Tanzania imara yenye maendeleo ya uhakika kwa miaka 100 inayokuja. Jambo hili ni KATIBA MPYA ILIYO BORA INAYOJENGA NA KUTENGENEZA MIFUMO IMARA KULISIMAMIA TAIFA NA WANASIASA ( VIONGOZI).

CCM ambacho ndo chama kilichoiongoza nchi hii tangu uhuru wanajua fika kuwa mzizi mkuu wa mamlaka yao na kuendelea kuitawala Tanzania hii hadi watakapochoka ni KATIBA HII TULIYONAYO SASA INAYOMFANYA MWENYEKITI WAO AMBAYE NI RAIS kuwa mungu mdogo.

Kuanzia mwaka kesho inawezekana nchi ikaanzisha mchakato wa Katiba Mpya kama alivyoahidi Samia.

Hatari iliyopo mbele ya Taifa hili ni kuwa, endapo hakutakuwa na upinzani imara unaojua kesho yetu inapaswa kuwaje? Kuna uwezekano CCM wakatuletea kituko cha karne kwenye hilo suala la Katiba Mpya.

Wanaoitakia mema Tanzania, kwa sasa wanaomba nchi ipate upinzani madhubuti ambao hautayumbishwa kusimamia na kuhakikisha nchi yetu inapata katiba imara sana inayojenga mifumo imara sana na kuondoa u mungu kwa wanasiasa.

Chama pekee cha upinzani ambacho kinaonekana kuwa na watu wasio compromise kwenyw hili ni CHADEMA.

Kwa sasa CCM wameweza kupenyeza pesa chafu ili kuwarubuni baadhi ya viongozi wa CHADEMA hasa upande unaomtete Mwenyekiti Mbowe ili mradi isitokee nchi ikapata upinzani imara utakaosababisha tupate KATIBA IMARA NA BORA.

Rai yangu kwa wajumbe wa CHADEMA. Leo mna nafasi ya kuandika historia mpya ya Tanzania kwa miaka zaidi ya 100 ijayo.

Kama mmepewa pesa chafu na CCM zileni ila kwenye kuchagua kamchagueni TUNDU ANTIPASS LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama chenu.

Kamchagueni JOHN HECHE kuwa Makamu Mwenyekiti.

Na mwisho leo kuweni wakali sana ikiwezekana kura zisimamiwe vizuri kuepusha ufedhuli wa CCM na watu wake.

Kwa vyombo vya dola. Inawezekana CCM wamepanga kuwatumia leo ili mfanikishe azma yao.

Rai yangu kwenu, litazameni Taifa hili kwa miaka 100 ijayo ambayo itakuwa na vizazi vyenu. Ni wakati wenu saaa kuhakikisha mnaacha kutekeleza maagizo mabaya ambayo yanaweza kulipeleka Taifa hili na vizazi vyake mahali pabaya sana.

Lord Denning
Pataya, Thailand
Hapo kwa Lissu ndio kosa litakaloirudisha CDM miaka ya 90.
 
Mleta hoja unaushahidi wa fedha ziliZoingizwa ktk chama
 
Hapo hata apite nani,kete zinasukumwa huko kwa walima mananasi.
Akishinda A tunacheza Force king
Akishinda B tuna kula tatu mpaka King.

Ramani zate mbili zishachorwa,kilicho baki kwasasa wanasubili kujua ramani ipi itatumika,kwenye( necta)
Japo wanajua kuna ramani moja hapo ni nyepesi kuisoma,wana itaka ndio itumike kwenye mtihani wa taifa (necta).
Sababu huwa inajirudia mara kwa mara
 
Hapo hata apite nani,kete zinasukumwa huko kwa walima mananasi.
Akishinda A tunacheza Force king
Akishinda B tuna kula tatu mpaka King.

Ramani zate mbili zishachorwa,kilicho baki kwasasa wanasubili kujua ramani ipi itatumika,kwenye( necta)
Japo wanajua kuna ramani moja hapo ni nyepesi kuisoma,wana itaka ndio itumike kwenye mtihani wa taifa (necta).
Sababu huwa inajirudia mara kwa mara
Kucheza force King akishinda A si kirahisi kuhivyo na hiyo ndo hofu yao
 
Sidhani kama Wajumbe wa CHADEMA wanalifahamu hili?

Tanzania ilipofikia sasa, hasa kutokana na changamoto za rushwa na uongozi mbaya unaogharimu maisha ya wananchi masikini kila kukicha, ni jambo moja tu linaloweza kutubadilishia hali hii na kuhakikisha uwepo wa Tanzania imara yenye maendeleo ya uhakika kwa miaka 100 inayokuja. Jambo hili ni KATIBA MPYA ILIYO BORA INAYOJENGA NA KUTENGENEZA MIFUMO IMARA KULISIMAMIA TAIFA NA WANASIASA ( VIONGOZI).

CCM ambacho ndo chama kilichoiongoza nchi hii tangu uhuru wanajua fika kuwa mzizi mkuu wa mamlaka yao na kuendelea kuitawala Tanzania hii hadi watakapochoka ni KATIBA HII TULIYONAYO SASA INAYOMFANYA MWENYEKITI WAO AMBAYE NI RAIS kuwa mungu mdogo.

Kuanzia mwaka kesho inawezekana nchi ikaanzisha mchakato wa Katiba Mpya kama alivyoahidi Samia.

Hatari iliyopo mbele ya Taifa hili ni kuwa, endapo hakutakuwa na upinzani imara unaojua kesho yetu inapaswa kuwaje? Kuna uwezekano CCM wakatuletea kituko cha karne kwenye hilo suala la Katiba Mpya.

Wanaoitakia mema Tanzania, kwa sasa wanaomba nchi ipate upinzani madhubuti ambao hautayumbishwa kusimamia na kuhakikisha nchi yetu inapata katiba imara sana inayojenga mifumo imara sana na kuondoa u mungu kwa wanasiasa.

Chama pekee cha upinzani ambacho kinaonekana kuwa na watu wasio compromise kwenyw hili ni CHADEMA.

Kwa sasa CCM wameweza kupenyeza pesa chafu ili kuwarubuni baadhi ya viongozi wa CHADEMA hasa upande unaomtete Mwenyekiti Mbowe ili mradi isitokee nchi ikapata upinzani imara utakaosababisha tupate KATIBA IMARA NA BORA.

Rai yangu kwa wajumbe wa CHADEMA. Leo mna nafasi ya kuandika historia mpya ya Tanzania kwa miaka zaidi ya 100 ijayo.

Kama mmepewa pesa chafu na CCM zileni ila kwenye kuchagua kamchagueni TUNDU ANTIPASS LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama chenu.

Kamchagueni JOHN HECHE kuwa Makamu Mwenyekiti.

Na mwisho leo kuweni wakali sana ikiwezekana kura zisimamiwe vizuri kuepusha ufedhuli wa CCM na watu wake.

Kwa vyombo vya dola. Inawezekana CCM wamepanga kuwatumia leo ili mfanikishe azma yao.

Rai yangu kwenu, litazameni Taifa hili kwa miaka 100 ijayo ambayo itakuwa na vizazi vyenu. Ni wakati wenu saaa kuhakikisha mnaacha kutekeleza maagizo mabaya ambayo yanaweza kulipeleka Taifa hili na vizazi vyake mahali pabaya sana.

Lord Denning
Pataya, Thailand
Hakika umetoa nasaha nzuri sana mkuu,ni mhimu wazifanyie kazi ipasavyo.
 
Sidhani kama Wajumbe wa CHADEMA wanalifahamu hili?

Tanzania ilipofikia sasa, hasa kutokana na changamoto za rushwa na uongozi mbaya unaogharimu maisha ya wananchi masikini kila kukicha, ni jambo moja tu linaloweza kutubadilishia hali hii na kuhakikisha uwepo wa Tanzania imara yenye maendeleo ya uhakika kwa miaka 100 inayokuja. Jambo hili ni KATIBA MPYA ILIYO BORA INAYOJENGA NA KUTENGENEZA MIFUMO IMARA KULISIMAMIA TAIFA NA WANASIASA ( VIONGOZI).

CCM ambacho ndo chama kilichoiongoza nchi hii tangu uhuru wanajua fika kuwa mzizi mkuu wa mamlaka yao na kuendelea kuitawala Tanzania hii hadi watakapochoka ni KATIBA HII TULIYONAYO SASA INAYOMFANYA MWENYEKITI WAO AMBAYE NI RAIS kuwa mungu mdogo.

Kuanzia mwaka kesho inawezekana nchi ikaanzisha mchakato wa Katiba Mpya kama alivyoahidi Samia.

Hatari iliyopo mbele ya Taifa hili ni kuwa, endapo hakutakuwa na upinzani imara unaojua kesho yetu inapaswa kuwaje? Kuna uwezekano CCM wakatuletea kituko cha karne kwenye hilo suala la Katiba Mpya.

Wanaoitakia mema Tanzania, kwa sasa wanaomba nchi ipate upinzani madhubuti ambao hautayumbishwa kusimamia na kuhakikisha nchi yetu inapata katiba imara sana inayojenga mifumo imara sana na kuondoa u mungu kwa wanasiasa.

Chama pekee cha upinzani ambacho kinaonekana kuwa na watu wasio compromise kwenyw hili ni CHADEMA.

Kwa sasa CCM wameweza kupenyeza pesa chafu ili kuwarubuni baadhi ya viongozi wa CHADEMA hasa upande unaomtete Mwenyekiti Mbowe ili mradi isitokee nchi ikapata upinzani imara utakaosababisha tupate KATIBA IMARA NA BORA.

Rai yangu kwa wajumbe wa CHADEMA. Leo mna nafasi ya kuandika historia mpya ya Tanzania kwa miaka zaidi ya 100 ijayo.

Kama mmepewa pesa chafu na CCM zileni ila kwenye kuchagua kamchagueni TUNDU ANTIPASS LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama chenu.

Kamchagueni JOHN HECHE kuwa Makamu Mwenyekiti.

Na mwisho leo kuweni wakali sana ikiwezekana kura zisimamiwe vizuri kuepusha ufedhuli wa CCM na watu wake.

Kwa vyombo vya dola. Inawezekana CCM wamepanga kuwatumia leo ili mfanikishe azma yao.

Rai yangu kwenu, litazameni Taifa hili kwa miaka 100 ijayo ambayo itakuwa na vizazi vyenu. Ni wakati wenu saaa kuhakikisha mnaacha kutekeleza maagizo mabaya ambayo yanaweza kulipeleka Taifa hili na vizazi vyake mahali pabaya sana.

Lord Denning
Pataya, Thailand
kituko
 
Hakika umetoa nasaha nzuri sana mkuu,ni mhimu wazifanyie kazi ipasavyo.
Natumai nimeweza kuwaeleza at least wajue unyeti wa zoezi wanaloenda kulifanya leo.

Zoezi pekee nyeti kwa Mwaka huu 2025 nchini Tanzania ni huu Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA. Maana tumeshajua kupitia Katiba yetu inayotengeneza miungu watu nani atakuwa Rais hapo October, 2025
 
Ccm wana wajumbe wao humo wanaomuunga mkono Mbowe
Vyovyote vile itakavyokuwa.

Rai kuu wa wajumbe wa CHADEMA. Leo ni siku wanayopaswq kuwa serious kuliko siku zote kwenye maisha yao.

Wanatakiwa mpaka kujikagua kuhakikisha hakuna mamluki anayeingia ukumbini na kupiga kura. Wanatakiwa kuhakikisha hakuna kura zinazobadilishwa na matokeo halisi ndiyo yanayotangazwa.
 
Nilichogundua kwa kipindi kifupi cha huu uchaguzi wa CDM,yaliyo sisiemu ndiyo hayohayo yaliyopo CDM,aina ya machawa waliopo sisiemu ndiyo hao hao waliopo CDM..........kwa kilichojionyesha kwa miaka mingi ijayo sioni wa kuitoa sisiemu madarakani labda sisiemu wenyewe wagawanyike vipande viwili
 
Natumai nimeweza kuwaeleza at least wajue unyeti wa zoezi wanaloenda kulifanya leo.

Zoezi pekee nyeti kwa Mwaka huu 2025 nchini Tanzania ni huu Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA. Maana tumeshajua kupitia Katiba yetu inayotengeneza miungu watu nani atakuwa Rais hapo October, 2025
Tatizo la nchi hii ni wasomi kama wewe kususia siasa na kuwaachia 'wabangaizaji ' , ambao hawana upeo kama wako, wanawaza mkate wa leo na chakula cha jioni. Ambao wako so susceptible and vulnerable kwa virushwa vidogo vidogo. Easily manipulative.

Halafu baadae wasomi wanabakiA kuweka tumaini kwa 'wajumbe'
 
Sidhani kama Wajumbe wa CHADEMA wanalifahamu hili?

Tanzania ilipofikia sasa, hasa kutokana na changamoto za rushwa na uongozi mbaya unaogharimu maisha ya wananchi masikini kila kukicha, ni jambo moja tu linaloweza kutubadilishia hali hii na kuhakikisha uwepo wa Tanzania imara yenye maendeleo ya uhakika kwa miaka 100 inayokuja. Jambo hili ni KATIBA MPYA ILIYO BORA INAYOJENGA NA KUTENGENEZA MIFUMO IMARA KULISIMAMIA TAIFA NA WANASIASA ( VIONGOZI).

CCM ambacho ndo chama kilichoiongoza nchi hii tangu uhuru wanajua fika kuwa mzizi mkuu wa mamlaka yao na kuendelea kuitawala Tanzania hii hadi watakapochoka ni KATIBA HII TULIYONAYO SASA INAYOMFANYA MWENYEKITI WAO AMBAYE NI RAIS kuwa mungu mdogo.

Kuanzia mwaka kesho inawezekana nchi ikaanzisha mchakato wa Katiba Mpya kama alivyoahidi Samia.

Hatari iliyopo mbele ya Taifa hili ni kuwa, endapo hakutakuwa na upinzani imara unaojua kesho yetu inapaswa kuwaje? Kuna uwezekano CCM wakatuletea kituko cha karne kwenye hilo suala la Katiba Mpya.

Wanaoitakia mema Tanzania, kwa sasa wanaomba nchi ipate upinzani madhubuti ambao hautayumbishwa kusimamia na kuhakikisha nchi yetu inapata katiba imara sana inayojenga mifumo imara sana na kuondoa u mungu kwa wanasiasa.

Chama pekee cha upinzani ambacho kinaonekana kuwa na watu wasio compromise kwenye hili ni CHADEMA.

Kwa sasa CCM wameweza kupenyeza pesa chafu ili kuwarubuni baadhi ya viongozi wa CHADEMA hasa upande unaomtetea na kumuunga mkono Mwenyekiti Mbowe ili mradi isitokee nchi ikapata upinzani imara utakaosababisha tupate KATIBA IMARA NA BORA itakayotishia uhai wao na ufalme wao nchini Tanzania.

Rai yangu kwa wajumbe wa CHADEMA. Leo mna nafasi ya kuandika historia mpya ya Tanzania kwa miaka zaidi ya 100 ijayo.

Kama mmepewa pesa chafu na CCM zileni ila kwenye kuchagua kamchagueni TUNDU ANTIPASS LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama chenu.

Kamchagueni JOHN HECHE kuwa Makamu Mwenyekiti.

Na mwisho leo kuweni wakali sana ikiwezekana kura zisimamiwe vizuri kuepusha ufedhuli wa CCM na watu wake.

Kwa vyombo vya dola. Inawezekana CCM wamepanga kuwatumia leo ili mfanikishe azma yao.

Rai yangu kwenu, litazameni Taifa hili kwa miaka 100 ijayo ambayo itakuwa na vizazi vyenu. Ni wakati wenu saaa kuhakikisha mnaacha kutekeleza maagizo mabaya ambayo yanaweza kulipeleka Taifa hili na vizazi vyake mahali pabaya sana.

Lord Denning
Pataya, Thailand
Rai yangu kwa wajumbe wa CHADEMA. Leo mna nafasi ya kuandika historia mpya ya Tanzania kwa miaka zaidi ya 100 ijayo.

Kama mmepewa pesa chafu na CCM zileni ila kwenye kuchagua kamchagueni TUNDU ANTIPASS LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama chenu.

Kamchagueni JOHN HECHE kuwa Makamu Mwenyekiti.
 
Huwezi kumpa chama muhuni kama Lema awe ndiye ati mshauri mkuu wa mwenyekiti Lissu, hicho chama hakimaliza hata wiki 6

Kosa la Lissu ni kuingizwa mkenge na huyu jamaa - kamuaminisha kwamba anaweza kutoboa mbele ya Mwenyekiti Mbowe na kupanga personal attacks, muda wote wa mashambulizi Mbowe akabika kimya tu busara imemuongoza.

Ni kilio leo na kusaga memo leo ila tunaomba Lissu kesho 22 usipande ndege kwenda ughaibuni kwani tutakuwa na vikao vya re-treat utaalikwa wewe na timu yako.
 
Back
Top Bottom