Leo taifa linaenda kupata aibu

Leo taifa linaenda kupata aibu

JF imevamiwa na kizazi kilichokosa hata mabaki ya elimu.

Pole sana mleta mada, aibu naona unayo wewe kwa kuandika ujinga.

Shabiki wa kweli wa Yanga au Simba ni mpenda michezo na ni mzalendo.

Yanga au Simba zinapocheza na team za nje ya Tanzania inatakiwa tuwe wazalendo kwanza, wanaiwakilisha Tanzania na si club zao tu.
 
Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max

Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kuna Timu kongwe inaenda kutuaibisha
Kama kuna mtu anabisha tukutane hapa hapa saa tatu usiku baada ya kufungwa na waarabu wenye hasira kali

Na hamtofuzu kwenda robo fainali maana mkienda lubumbashi mtarudi na aibu nyingine ya kufungia mwaka

Ila jana lilipigwa bori kashata miksa masotojo alafu yule chama Chelsea, Man U anacheza vizuri tu na hakuna wa kumuweka benchi

Mimi ni Shabiki wa Lunyasi!

View attachment 2557516
Lunyasi kolo vipi matokeo ya Wananchi huko
 
Matokeo yako vipi huko?

Bado kuna aibu yoyote?
 
Hizi aibu na fedheha za rejareja na jumla mnajitafutiaga wenyewe tu.
 
Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max

Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kuna Timu kongwe inaenda kutuaibisha
Kama kuna mtu anabisha tukutane hapa hapa saa tatu usiku baada ya kufungwa na waarabu wenye hasira kali

Na hamtofuzu kwenda robo fainali maana mkienda lubumbashi mtarudi na aibu nyingine ya kufungia mwaka

Ila jana lilipigwa bori kashata miksa masotojo alafu yule chama Chelsea, Man U anacheza vizuri tu na hakuna wa kumuweka benchi

Mimi ni Shabiki wa Lunyasi!

View attachment 2557516
Ndio tena AIBU KUBWA NI YA WEWE KULETWA DUNIANI NA MAMA YAKO
 
Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max

Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kuna Timu kongwe inaenda kutuaibisha
Kama kuna mtu anabisha tukutane hapa hapa saa tatu usiku baada ya kufungwa na waarabu wenye hasira kali

Na hamtofuzu kwenda robo fainali maana mkienda lubumbashi mtarudi na aibu nyingine ya kufungia mwaka

Ila jana lilipigwa bori kashata miksa masotojo alafu yule chama Chelsea, Man U anacheza vizuri tu na hakuna wa kumuweka benchi

Mimi ni Shabiki wa Lunyasi!

View attachment 2557516
haya hebu jitokeze hadharani useme tena
 
Mleta mada,nakuona hapo ulipo unajinyea kila mda,hivi nani aliyekuambia yanga hawafuzu??Acha makasiriko ya kijinga,mpira unachezwa uwanjani,sio kwenye mdomo wako huo uliyezoea kunyonya muhogo.
Yanga wanaleta kombe hapa Tanzania,kama utaki utataka tu,pumbavuuuh zako
 
Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max

Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kuna Timu kongwe inaenda kutuaibisha
Kama kuna mtu anabisha tukutane hapa hapa saa tatu usiku baada ya kufungwa na waarabu wenye hasira kali

Na hamtofuzu kwenda robo fainali maana mkienda lubumbashi mtarudi na aibu nyingine ya kufungia mwaka

Ila jana lilipigwa bori kashata miksa masotojo alafu yule chama Chelsea, Man U anacheza vizuri tu na hakuna wa kumuweka benchi

Mimi ni Shabiki wa Lunyasi!

View attachment 2557516
Ikawaje sasa muzeye.
 
Back
Top Bottom