Leo Taifa Stars anafungwa 1-0 na Lesotho

Leo Taifa Stars anafungwa 1-0 na Lesotho

Basi hamna namna tena. Tukubali tu kunyolewa na kila kinyozi... hata kama ni mwendawazimu.
Kwasasa itabidi tufikekwenye kuchunwa ngozi ya kichwa, maana mtu hawezi kuwa ananyolewa kla siku tu, lazima kuna siku nywele zilivoisha atachunwa ngozi tu.
 
Mwenye CV ya ali mayyai a Xzzz
ad79965b1ebd046f7c5cb6dc6de82009.jpg
 
Hii team ni moja ya sababu ya kwanini life expectancy ya watanzania IPO chini ..
 
Habari zenu wanajamvi.

Leo ninapenda kuchukua nafasi kuwashukuru nyote kwa kuwa na imani na Timu ya Tanzania ya mpira wa miguu tangu hapo awali mpaka tamati yake hii Leo.

Licha ya kutambua wazi kuwa hatutafika popote kwenye michuano hii, bado mkaendelea kuamini kuwa "Kuku atameza Papai".

Leo ndio tunaenda kufunga pazia la michuano hii kwa upande wa timu yetu kwa kichapo cha "bao moja kwa nunge".

Naomba tuendelee kuwa pamoja na timu yetu hata kama tu najua kabisa kuwa tunaenda kufungwa. Maana hakuna namna pekee ya kuonyesha uzalendo zaidi ya kukubali hali halisi.

Iandaeni mioyo yenu maana Imeandikwa. "Mwana wa Adamu atashinda mechi chache za kwanza, siku ya pili atakula kichapo na siku ya tatu atapaishwa na Lesotho" Taifa 4:2-0.

575a16ac4aa7085ec566e3dd5f81c875.jpg
Pumbavu kabisa
 
Wachezaji wa Tanzania hawana vipaji... Hata hizi timu za ligi kuu hakuna kitu kabisa.... Ni kupoteza muda tu
 
Mleta uzi unahitajika kuripoti central kesho asubuhi
 
Habari zenu wanajamvi.

Leo ninapenda kuchukua nafasi kuwashukuru nyote kwa kuwa na imani na Timu ya Tanzania ya mpira wa miguu tangu hapo awali mpaka tamati yake hii Leo.

Licha ya kutambua wazi kuwa hatutafika popote kwenye michuano hii, bado mkaendelea kuamini kuwa "Kuku atameza Papai".

Leo ndio tunaenda kufunga pazia la michuano hii kwa upande wa timu yetu kwa kichapo cha "bao moja kwa nunge".

Naomba tuendelee kuwa pamoja na timu yetu hata kama tu najua kabisa kuwa tunaenda kufungwa. Maana hakuna namna pekee ya kuonyesha uzalendo zaidi ya kukubali hali halisi.

Iandaeni mioyo yenu maana Imeandikwa. "Mwana wa Adamu atashinda mechi chache za kwanza, siku ya pili atakula kichapo na siku ya tatu atapaishwa na Lesotho" Taifa 4:2-0.

575a16ac4aa7085ec566e3dd5f81c875.jpg
Ndala mentality ni janga kwa taifa hili.
 
Dah! Stars wanachoka mapema, halafu pass wazopiga hazina afya zinaporwa kirahisi.
Mbio pia ni shida.

Huyu kipa yuko vizuri kwenye penati ndio kaiokoa stars.
 
Back
Top Bottom