demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
- Thread starter
- #61
Mleta uzi unaonekana siyo Mtanzania kwa na watu unaoishi nao watakuwa wameshakuchoka wanakuombea ufe haraka uondoke na laana zako hapa duniani ; maana unaonekana ni mtu uliyezoea sana kushindwa na hivyo unaitakia timu yetu ya Taifa ishindwe.
Pole sana Mzee najua watanzania hatupendi kuambiwa ukweli.
Tunataka Mara zote tudanyanywe, ndio maana Makinikia yanavuka BODA kirahisi sana.