Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
AminaSabato njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaSabato njema
Amina mtumishi,Mimi Leo nahitimisha makambi hapa Tabora,mtaa wa Bachu,Kwaya kuu ni Sikonge SDA. Ila hujatenda kuto itaja Kurasini SDA choir. Ni moja ya Kwaya nzuri sana.Sabato Njema!
Leo ninayofuraha kubwa kusherehekea Sikukuu za Makambi Kwa mwaka huu 2022 katika mtaa wa Manzese.
Maandalizi yaliyofanyika ni makubwa Mno.
Mwitikio wa watu hi mkubwa Sana, Nina wasiwasi eneo linaweza kuwa dogo Kama ongezeko la watu litaendelea hivi!
Kwaya kubwa zinazoimba vizuri katika nchi hii zipo hapa kutoa injili Kwa njia ya nyimbo na kuburudisha,
1. Mbiu SDA Kwaya.
2. Nyarugusu AY SDA kwaya ya Geita.
3. Angaza SDA Kwaya
4. Sauti ya Nyikani Kwaya.
Na kwaya zingine.
Mambo ambayo ninauhakika yangekupendeza katika sherehe hizi ni Kama ungekuwepo ni pamoja na;
1. Nyimbo tamu zilizoimbwa Kwa ufundi na wajuvi na watunzi mahiri.
2. Mitindo ya nywele waliosuka Wanawake yenye kuvutia Kwa namna ya utukufu wa Mungu.
3. Masomo ya Biblia na mafundisho ya Mungu yatakayoufanya roho yako kuwa na Amani.
Karibuni Sana mliokaribu na eneo hili, Sinza, Tandale, Manzese, Ubungo, Makumbusho, KIJITONYAMA n.k.
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kwenye Makambi, Kanisa la Manzese, Dar es salaam
Wewe ni mpare wa wapi? Mamba miamba?chome au Gonja?
Amina mtumishi,Mimi Leo nahitimisha makambi hapa Tabora,mtaa wa Bachu,Kwaya kuu ni Sikonge SDA. Ila hujatenda kuto itaja Kurasini SDA choir. Ni moja ya Kwaya nzuri sana.
Ukimaliza Manzese njoo Mtaa wa Kwembe tupate neno la makambi hapa. Its been a while asee.
Unaposema nyimbo tamu kwani kuna zisizo tamu?Kwaya kubwa zinazoimba vizuri katika nchi hii zipo hapa kutoa injili Kwa njia ya nyimbo na kuburudisha,
Ni wakwako unataka kuwagawia unaowaalika!?.
2. Mitindo ya nywele waliosuka Wanawake yenye kuvutia Kwa namna ya utukufu wa Mungu.
Unaposema nyimbo tamu kwani kuna zisizo tamu?
Ni wakwako unataka kuwagawia unaowaalika!?
Sisi wengine tunafunga mtaa wa pasiansi Mwanza
Leo ninayofuraha kubwa kusherehekea Sikukuu za Makambi
Uki connect dots utajua ukweli wa huyu ndugu Bujibuji Simba Nyamaume na uzi wake 👇Mitindo ya nywele waliosuka Wanawake yenye kuvutia
Sabato njema mtumishi, usirudie kuhamasisha uzinzi.Sabato Njema!
Leo ninayofuraha kubwa kusherehekea Sikukuu za Makambi Kwa mwaka huu 2022 katika mtaa wa Manzese.
Maandalizi yaliyofanyika ni makubwa Mno.
Mwitikio wa watu hi mkubwa Sana, Nina wasiwasi eneo linaweza kuwa dogo Kama ongezeko la watu litaendelea hivi!
Kwaya kubwa zinazoimba vizuri katika nchi hii zipo hapa kutoa injili Kwa njia ya nyimbo na kuburudisha,
1. Mbiu SDA Kwaya.
2. Nyarugusu AY SDA kwaya ya Geita.
3. Angaza SDA Kwaya
4. Sauti ya Nyikani Kwaya.
Na kwaya zingine.
Mambo ambayo ninauhakika yangekupendeza katika sherehe hizi ni Kama ungekuwepo ni pamoja na;
1. Nyimbo tamu zilizoimbwa Kwa ufundi na wajuvi na watunzi mahiri.
2. Mitindo ya nywele waliosuka Wanawake yenye kuvutia Kwa namna ya utukufu wa Mungu.
3. Masomo ya Biblia na mafundisho ya Mungu yatakayoufanya roho yako kuwa na Amani.
Karibuni Sana mliokaribu na eneo hili, Sinza, Tandale, Manzese, Ubungo, Makumbusho, KIJITONYAMA n.k.
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kwenye Makambi, Kanisa la Manzese, Dar es salaam
Lesoni, kitabu cha nyimbo na BibliaKumbe nawe Msabato
Kutoka 20:8-11Sabato njema taicoon, mm nipo golini nakaba mpk penalty, naomba Mungu anivuvie niwe naanza kwenda kanisani, pamoja sana msabato mwenzangu.
Sabato njema mtumishi, usirudie kuhamasisha uzinzi.
mbona tunatishana?Angalizo: Usitafute mchumba kanisani
Kuna binadamu wanajua kuigiza kiasi kwamba kama hujamuomba MUNGU anapata mke ambae ni kitukowww.jamiiforums.com
Ukitoka hapo njoo na uzi wa sabato ya kweli ni jumamosi.....[emoji3][emoji3]